Director Enos Olik wa Kenya apata mtoto wa kwanza
Director wa video kutoka nchini Kenya, Enos Olik anaingia kwenye orodha ya mastaa wa Afrika Mashariki waliopata watoto mwaka huu.
December 12 ndio siku mke wake ambaye ni mtangazaji wa KTN alijifungua mtoto wao waliyempa jina la Aiden Olik.
“Welcome to the unforgiving world baby Aiden Olik… Daddy will always be here to support you.. Born 12/12/15…Your birthdays will be on a public holiday #FeelingBlessed.. With @misstamima” aliandika Enos Instagram iliyosindikizwa na picha ya mkono wa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Nov
Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base
![enos4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/enos4-300x194.jpg)
Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.
Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.
Bongo5...
10 years ago
Bongo525 Oct
Wizkid na Victoria Kimani washoot video Kenya na Enos Olik
9 years ago
Bongo504 Nov
One Africa: Enos Olik wa Kenya aongoza video ya Butera Knowles wa Rwanda aliyemshirikisha Roberto wa Zambia
![12145346_998184826935184_1820880905_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12145346_998184826935184_1820880905_n-300x194.jpg)
Kiwanda cha muziki cha Afrika kinazidi kuungana pamoja.
Kuanzia Kushoto: Butera Knowles, Enos Olik na Roberto
Miaka ya hivi karibuni wasanii wa Afrika wamekuwa wakishirikiana kwenye nyimbo zao za hivyo kuzidi kuusogeza karibu zaidi muziki wa bara hili.
Baada ya kutoka kuongoza video ya wimbo wa Christian Bella na Alikiba ‘Nagharamia’ iliyofanyika nchini Afrika Kusini, Enos Olik ameongoza tena video ya collabo ya wasanii wa Afrika.
Butera na Roberto walipokuwa wakielekea Nairobi kushoot...
10 years ago
Bongo515 Oct
Enos Olik aongoza video ya wimbo mpya wa Shaa
10 years ago
Bongo523 Jan
Director Kevin Bosco wa Kenya: Hanscana is the director to watch, trust me
11 years ago
Bongo516 Jul
Director Kevin Bosco wa Kenya anatoza 10% tu ya wanachotoza madirector wengine wa Kenya, vijue vigezo vyake vya kupokea kazi
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Mtoto apata mtoto Paraguay.
10 years ago
Bongo516 Sep
Nisher ataja pesa aliyolipwa kama director kwenye video ya kwanza kutengeneza
9 years ago
Bongo526 Nov
Belle 9 apata dili ya kwanza ya ubalozi wa kampuni hii
![Belle ubalozi2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Belle-ubalozi2-300x194.jpg)
Wiki iliyopita muimbaji wa Rnb, Belle 9 alipost picha akisaini mkataba ambao kwa wakati ule hakuweka wazi ni wa kitu gani. Lakini sasa ameweka wazi kuwa ulikuwa ni mkataba wa ubalozi wa Owbaz.com.
Mafanikio haya yanakuja baada ya Belle kuanza kufanya kazi chini ya kampuni yake ya Vitamin Music inayosimamia kazi zake zote kwa sasa.
Mafanikio mengine ambayo Belle ameyapata toka abadili mfumo wake wa kufanya kazi ni pamoja na video yake ya ‘Shauri Zao’ kuanza kuchezwa na vituo vya nje...