Director Kevin Bosco wa Kenya anatoza 10% tu ya wanachotoza madirector wengine wa Kenya, vijue vigezo vyake vya kupokea kazi
Miaka ya karibuni wasanii wengi wa Tanzania wamekuwa wakienda Kenya kufanya video zao na madirector kama Ogopa na Enos Olik pamoja na Kevin Bosco Jnr aliyefanya video ya AY ‘Asante. Director Kevin Bosco Jnr aliyekuja Tanzania wiki iliyopita kushoot video ya wimbo wa Victoria Kimani aliyowashirikisha Diamond na Ommy Dimpoz iliyofanyika Dar es salaam, amesema […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo523 Jan
Director Kevin Bosco wa Kenya: Hanscana is the director to watch, trust me
9 years ago
Bongo526 Aug
Kevin Bosco aahidi maajabu kwenye video ya Galaxy
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Kenya yafikia 758, huku wagonjwa wengine 21 wakithibitishwa
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Pep Guardiola yupo Kenya kutafakari ofa za vilabu vya Ulaya, huu ni uthibitisho ndani ya Kenya …
Kocha wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola ambaye pia anahusishwa kutaka kujiunga na vilabu vya Man United, Chelsea na kwa kiasi kikubwa Man City, December 28 aliwasili uwanja wa ndege wa Kenya JKIA kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya mwaka mpya. Uwepo wa Guardiola Kenya ambapo amepokelewa na Gavana wa Mombasa […]
The post Pep Guardiola yupo Kenya kutafakari ofa za vilabu vya Ulaya, huu ni uthibitisho ndani ya Kenya … appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715
9 years ago
Bongo514 Dec
Director Enos Olik wa Kenya apata mtoto wa kwanza
![enos4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/enos4-300x194.jpg)
Director wa video kutoka nchini Kenya, Enos Olik anaingia kwenye orodha ya mastaa wa Afrika Mashariki waliopata watoto mwaka huu.
December 12 ndio siku mke wake ambaye ni mtangazaji wa KTN alijifungua mtoto wao waliyempa jina la Aiden Olik.
“Welcome to the unforgiving world baby Aiden Olik… Daddy will always be here to support you.. Born 12/12/15…Your birthdays will be on a public holiday #FeelingBlessed.. With @misstamima” aliandika Enos Instagram iliyosindikizwa na picha ya mkono wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8SvPN3e*0rsa1Ujg1LC3gjQF0YRgwmbvAoNm*EJTgWwQvbgaQY4hFs6kSVvYbfTWIf5UoxzuMhWsiHhNtk*m*Zm/lamuattackshabaab.jpg?width=650)
SHAMBULIO LAUA WENGINE 5 KENYA
9 years ago
Dewji Blog04 Oct
JK ateua wakuu wa wilaya wapya 13 na kuwahamisha vituo vya kazi wengine saba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wa wilaya wapya 13 na kuwahamisha vituo vya kazi wengine saba.
Wakuu wa wilaya 13 walioteuliwa ni Shaaban Athuman Ntanambe ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato, Mkoa wa Kagera; Thabisa Mwalapwa ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Hanang, Mkoa wa Manyara; Richard Kasesera ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Mkoa wa Iringa, Ruth Msafiri ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Mkoa wa Kigoma na...
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Pichaz za Neymar, Ronaldo, Kevin De Bruyne, Lampard, Walcott na wengine walivyosherehekea mwaka mpya 2016 ..
Ikiwa ni siku ya kwanza katika mwaka 2016 yaani mwaka mpya, kila mtu amesherehekea kwa namna yake. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz za mastaa wa soka walivyosherehekea sikukuu ya mwaka mpya. Wengine walisherehekea sikukuu ya mwaka mpya wakiwa majumbani kwao na wapenzi wao na wengine kwa vinywaji flani hivi. Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Pichaz za Neymar, Ronaldo, Kevin De Bruyne, Lampard, Walcott na wengine walivyosherehekea mwaka mpya 2016 .. appeared first on...