Director Kevin Bosco wa Kenya: Hanscana is the director to watch, trust me
Director Kevin Bosco Jnr aliyeongoza video mpya ya Mwana FA ‘Kiboko Yangu’ na zingine kibao, amemtabiria makubwa director mpya wa Bongo ambaye ameanza kuonesha dalili njema kupitia video chache alizofanya ikiwemo WCD ya kina Vanessa Mdee, pamoja na ‘Moyoni ‘ ya Navy Kenzo. Kevin Bosco Jnr Director huyo wa Kenya aliulizwa ma-director wa Bongo anaowazimia: […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo516 Jul
Director Kevin Bosco wa Kenya anatoza 10% tu ya wanachotoza madirector wengine wa Kenya, vijue vigezo vyake vya kupokea kazi
9 years ago
Bongo505 Oct
Video ya wasanii wa Ghana iliyoshutiwa Zanzibar na director Justin Campos akisaidiwa na Hanscana na Khalfani
9 years ago
Bongo511 Dec
Justin Campos atoa ushauri kwa ma-director wa Tanzania, asema anamkubali zaidi Hanscana
![justin2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/justin2-300x194.jpg)
Justin Campos ni jina linalotajwa sana kwa sasa linapokuja swala ya video za muziki. Huyu ni muongozaji wa video kutoka Afrika Kusini ambaye alianza kufahamika zaidi Tanzania baada ya kufanya kazi na Vanessa Mdee ‘No Body But Me’.
Kupitia kampuni yake ya Gorilla Films, Justin na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wamefanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania hadi sasa, na kuna wengine wanaendelea kuwatafuta ili wafanye kazi.
Katika mahojiano Exclusive na Bongo5, Justin...
9 years ago
Bongo516 Oct
Director Khalfani asema wasanii wanachangia kuwafanya ma-director wa TZ wasifike viwango vya kimataifa
9 years ago
Bongo513 Oct
Director Hanscana asema video ya ‘Siri’ ya Vanessa ndio inayomletea wateja kutoka nje ya Tanzania
11 years ago
IPPmedia25 Feb
Wildlife Director and Assistant Director axed
IPPmedia
IPPmedia
Natural Resources and Tourism minister Lazaro Nyalandu briefs journalists in Dar es Salaam yesterday. (Photo: Guardian Photographer). Natural Resources and Tourism minister Lazaro Nyalandu has dismissed Prof Alexander Songorwa the Director of ...
9 years ago
Bongo517 Nov
New Video: Avril aachia video mpya aliyoshoot Tanzania na director Hanscana ‘No Stress’
![avril](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/avril-300x194.jpg)
Muimbaji Avril kutoka Kenya alikuja Tanzania mwezi September kwa lengo la kufanya media tour, na kuungana na Ben Pol kuzindua wimbo mpya ‘Ningefanyeje’ waliofanya pamoja. Kingine alikuja kushoot video ya wimbo wake mpya ‘No Stress’ aliomshirikisha AY.
Jumamosi iliyopita Avril alizindua video hiyo jijini Nairobi ambapo ilioneshwa kwa mara ya kwanza kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa Youtube. Director wa video hiyo Hanscana ambaye ni mshindi wa Tuzo Za Watu 2015 pamoja na AY walisafiri...
10 years ago
Bongo528 Feb
Picha: Director Hanscana aanza kuringishia matunda ya kazi yake, apost picha akiwa ametandaza milioni kadhaa
9 years ago
Bongo514 Dec
Director Enos Olik wa Kenya apata mtoto wa kwanza
![enos4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/enos4-300x194.jpg)
Director wa video kutoka nchini Kenya, Enos Olik anaingia kwenye orodha ya mastaa wa Afrika Mashariki waliopata watoto mwaka huu.
December 12 ndio siku mke wake ambaye ni mtangazaji wa KTN alijifungua mtoto wao waliyempa jina la Aiden Olik.
“Welcome to the unforgiving world baby Aiden Olik… Daddy will always be here to support you.. Born 12/12/15…Your birthdays will be on a public holiday #FeelingBlessed.. With @misstamima” aliandika Enos Instagram iliyosindikizwa na picha ya mkono wa...