Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video ya wasanii wa Ghana iliyoshutiwa Zanzibar na director Justin Campos akisaidiwa na Hanscana na Khalfani

Muongozaji wa video Justin Campos wa kampuni ya Gorilla Films ya Afrika Kusini alikuja Zanzibar mwezi June mwaka huu kufanya video ya kundi la muziki kutoka Ghana liitwalo Konfi. Justin Campos, Hanscana na Khalfani Campos alikuwa na wenyeji wake ambao ni ma-director wa Tanzania, mshindi wa Tuzo Za Watu 2015 Hanscana na Khalfani ambao ndio […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Justin Campos atoa ushauri kwa ma-director wa Tanzania, asema anamkubali zaidi Hanscana

justin2

Justin Campos ni jina linalotajwa sana kwa sasa linapokuja swala ya video za muziki. Huyu ni muongozaji wa video kutoka Afrika Kusini ambaye alianza kufahamika zaidi Tanzania baada ya kufanya kazi na Vanessa Mdee ‘No Body But Me’.

justin2

Kupitia kampuni yake ya Gorilla Films, Justin na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wamefanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania hadi sasa, na kuna wengine wanaendelea kuwatafuta ili wafanye kazi.

Katika mahojiano Exclusive na Bongo5, Justin...

 

9 years ago

Bongo5

Exclusive: Top video director Justin Campos opens up about working with Tanzanian artistes and more

campos2

Justin Campos is the award winning music video director from South Africa.

campos2

Justin’s involvement in the Entertainment industry began in 1994 when he started writing “groove tracks” in studio. Before the age of seventeen he had progressed to the role of co-producer on advertising jingles for both SA and the international market, working with his brother D-Rex out of a tiny, hand-built studio in Blairgowrie. After a successful run of four years, during which the pair produced soundtracks for...

 

9 years ago

Bongo5

Director Khalfani asema wasanii wanachangia kuwafanya ma-director wa TZ wasifike viwango vya kimataifa

Director wa video za muziki nchini, Khalfani amesema kuwa kitendo cha wasanii wa Tanzania kutotumia waongozaji wa video wa hapa nyumbani ni moja ya sababu inayowafanya ma-director hao wasifike viwango vya kimataifa. “Hivi we unajua kwamba wasanii wa Tanzania ndio wanachangia asilimia nyingi tu kutushusha sisi,” alisema Khalfani kupitia Planet Bongo ya EA Radio. “Ila […]

 

9 years ago

Bongo5

Hanscana aenda Afrika Kusini kutafuta connection za kimataifa na kuongeza ujuzi kwa Justin Campos (picha)

Hanscana na campos-5

Muongozaji na mtayarishaji wa video Hanscana yuko nchini Afrika Kusini, alikoenda kwaajili ya kuongeza ujuzi pamoja na kutafuta connection za kuwezesha kazi zake zifike kwenye vituo vya runinga vya kimataifa.

Hanscana na campos-5
Hanscana akiwa an Justin Campos na mkewe Candice

Wiki hii Hanscana amekuwa akipost picha mbalimbali Instagram akiwa na director Justin Campos na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wa kampuni ya Gorilla Films.

Hanscana amepiga story na Bongo 5 na ametueleza...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama kionjo cha video mpya ya Shaa ‘Toba’ iliyoongozwa na Justin Campos

Shaa MTV

Masaa machache kabla video ya wimbo mpya wa Shaa ‘Toba’ haijatambulishwa rasmi kupitia MTV Base, muimbaji huyo ametupa kionjo kidogo.

Video hiyo imeongozwa na director wa Afrika Kusini, Justin Campos. Usikose kuitazama leo jioni (Nov.23) saa 12 kamili kupitia MTV Base ‘Spanking New’

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Shaa kuachia video iliyoongozwa na Justin Campos ‘soon’

12276763_1690577784491299_435922388_n

Hivi karibuni wasanii wamekuwa na tabia ya kushoot video kali na kukaa nazo ndani bila kusema chochote.

12276763_1690577784491299_435922388_n

Shaa ni mmoja wapo. Ukimya wake haumaanishi kuwa hakuna vitu vikubwa vinavyofanyika nyuma ya pazia. Muimbaji huyo miezi kadhaa iliyopita alisafiri hadi Afrika Kusini kwenda kushoot video ya wimbo wake na muongozaji aliyejikusanyia sifa Afrika, Justin Campos.

Mke wa Justin, Candice, amepost picha ya screeshot kwenye Instagram kutoka kwenye kile kinachoonekana ni video ya wimbo huo uitwao...

 

9 years ago

Bongo5

Chege atua South kushoot video na Justin Campos

Chege Chigunda amewasili nchini Afrika Kusini kwaajili ya maandalizi ya video yake mpya ya wimbo ‘Sweety Sweety’ aliyowashirikisha Runtown pamoja na Uhuru. Akizungumza na Bongo5 akiwa nchini Afrika Kusini, Chege alisema kila kitu kinaenda sawa na muongozaji Justin campos kutoka kwa Gorilla Films ndio ataongoza video hiyo. “Ndio tupo kwenye maandalizi ya video niliyomshirikisha, Runtown […]

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Avril aachia video mpya aliyoshoot Tanzania na director Hanscana ‘No Stress’

avril

Muimbaji Avril kutoka Kenya alikuja Tanzania mwezi September kwa lengo la kufanya media tour, na kuungana na Ben Pol kuzindua wimbo mpya ‘Ningefanyeje’ waliofanya pamoja. Kingine alikuja kushoot video ya wimbo wake mpya ‘No Stress’ aliomshirikisha AY.

avril

Jumamosi iliyopita Avril alizindua video hiyo jijini Nairobi ambapo ilioneshwa kwa mara ya kwanza kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa Youtube. Director wa video hiyo Hanscana ambaye ni mshindi wa Tuzo Za Watu 2015 pamoja na AY walisafiri...

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol aenda Afrika Kusini kushoot video na Justin Campos

Ben na Campos2

Ben Pol ameongezeka kwenye orodha (inayozidi kuwa ndefu) ya wasanii wa Tanzania wenye mipango au walioishaenda Afrika Kusini kushoot video zao za muziki.

Ben na Campos2
Ben Pol akiwa na Justin Campos na timu yake na Rossie M Afrika Kusini

King wa RnB ameamua kufunga safari kwenda Johannesburg kwaajili ya kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Ningefanyaje’ aliowashirikisha Avril wa Kenya na msanii mpya Rossie M, ambayo amechagua kufanya na director Justin Campos wa Gorilla Films.

Kwanini kamchagua Justin Campos...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani