Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Tazama kionjo cha video mpya ya Shaa ‘Toba’ iliyoongozwa na Justin Campos

Shaa MTV

Masaa machache kabla video ya wimbo mpya wa Shaa ‘Toba’ haijatambulishwa rasmi kupitia MTV Base, muimbaji huyo ametupa kionjo kidogo.

Video hiyo imeongozwa na director wa Afrika Kusini, Justin Campos. Usikose kuitazama leo jioni (Nov.23) saa 12 kamili kupitia MTV Base ‘Spanking New’

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video ya Shaa ‘Toba’ iliyoongozwa na Campos kutambulishwa na MTV Base Jumatatu Nov.23

Shaa MTV

Ile video mpya ya Shaa aka Malkia wa Uswazi, ‘Toba’ aliyoshoot na muongozaji Justin Campos wa Afrika Kusini na kukaa nayo ndani kwa muda mrefu, sasa itatambulishwa Jumatatu ya November 23.

Shaa MTV

Video hiyo itaoneshwa kwa mara ya kwanza na kituo cha MTV Base kupitia segement yao ya kutambulisha video mpya ‘Spanking New’, saa 12 za jioni saa za Afrika Mashariki.

Wimbo na video hiyo ni muendelezo wa kazi za Shaa kwenye mkataba wake na Said Fella pamoja na Babu Tale ambao pia ndio walihusika na...

 

9 years ago

Bongo5

Shaa kuachia video iliyoongozwa na Justin Campos ‘soon’

12276763_1690577784491299_435922388_n

Hivi karibuni wasanii wamekuwa na tabia ya kushoot video kali na kukaa nazo ndani bila kusema chochote.

12276763_1690577784491299_435922388_n

Shaa ni mmoja wapo. Ukimya wake haumaanishi kuwa hakuna vitu vikubwa vinavyofanyika nyuma ya pazia. Muimbaji huyo miezi kadhaa iliyopita alisafiri hadi Afrika Kusini kwenda kushoot video ya wimbo wake na muongozaji aliyejikusanyia sifa Afrika, Justin Campos.

Mke wa Justin, Candice, amepost picha ya screeshot kwenye Instagram kutoka kwenye kile kinachoonekana ni video ya wimbo huo uitwao...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Kionjo cha video ya wimbo mpya ya Quick Rocka ‘Queen’ iliyoongozwa na Khalfani na Raqey

Quick Rocka amefanya video mpya na muongozaji aliyefanya video yake iliyopita, Khalfani na safari hii wameongeza nguvu ya director mwingine wa I-View studios Raqey. Katika akaunti yake ya Instagram Quick ameshare kionjo cha video hiyo ya wimbo wake mpya uitwao ‘Queen’ na kuandika “#NewVideoAlert#NewSongAlert….Mbeya City yo boy is coming.#Oct17#Queen# @director_khalfani & @raqey_allaraqya on this one.” […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Tazama kipande cha video mpya ya Lady Jaydee ft. Dabo ‘Forever’ iliyoongozwa na AJ

Tazama ‘teaser’ ya video mpya ya Lady Jaydee aliomshirikisha Dabo ‘Forever’ ambao audio yake imetoka leo. Video imeongozwa na Adam Juma na inatarajiwa kuzinduliwa Nov.28.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama kionjo cha video mpya ya Kassim Mganga ‘Subira’

Kassim-Mganga-serengeti-fiesta-Mbeya.

Kassim Mganga amekamilisha video ya wimbo wake ‘Subira’ aliomshirikisha Christian Bella, wimbo uliotoka mwanzoni mwa mwaka huu.

Video hiyo iliyoongozwa na Adam Juma inatarajiwa kutoka Ijumaa hii.

“Muda mrefu sana nimekuwa na kigugumizi juu ya majibu ya maswali yenu kuhusu video ya wimbo wenu pendwa wa #SUBIRA…kazi haikuwa ndogo kukamilisha hii video yote kupata video ya kiwango kinachohitajika machoni mwenu wadau..kazi imekamilika shukran kwa subira yenu wadau,in shaa Allah Ijumaa hii...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama kionjo cha video mpya ya Belle 9 — ‘Shauri Zao’

Belle 9 amekamilisha video ya wimbo wake ‘Shauri Zao’ iliyoongozwa na Hanscana. Lakini kabla hajaiachia rasmi, msanii huyo kutoka mji kasoro bahari, Morogoro amekupa kionjo cha sekunde 15 cha video hiyo. Itazame Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama kionjo cha video mpya ya Nonini aliyomshirikisha Chege — Wanajishuku

Rapper wa Kenya, Hubert “Nonini” Nakitare au kama anavyopenda kujiita Godfather wa Genge, anakaribia kuachia video mpya ya wimbo uitwao ‘Wanajishuku’ aliomshirikisha staa wa Tanzania, Chege Chigunda. Chege na Nonini ni washkaji wa muda mrefu ambao wamekuwa wakishirikiana katika kazi mbalimbali, na hii ni moja ya kazi ambazo wamekuwa wakifanya. Kwenye wimbo huu pia ameshirikishwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Jux aanza ku-tease video mpya ‘One More Night’ aliyoshoot na Justin Campos

Jux - onemorenight-2

Baada ya Vanessa Mdee kuachia video ya ‘Never Ever’ mwezi uliopita, Jux naye ameanza ku-tease wimbo wake mpya, ikiwa ni ishara kuwa muda si mrefu anaweza kuachia kazi nyingine baada ya ‘Looking For You’.

Jux - onemorenight-1
Moja ya picha za video hiyo

Kwa wiki mbili sasa Jux amekuwa aki-tease picha (screenshot) za video ya wimbo huo, huku akiweka hashtag ‘ONE MORE NIGHT’ kuashiria ndio jina la wimbo.

Jux - onemorenight-2

Kwenye picha hizo ameandika captions hizi:

-Natamani tusingefanya I need #onemorenight
-Nilionja sijashiba...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama kionjo cha toleo jipya la filamu ya ‘The Barbershop: The Next Cut’

barbershopheader

Filamu ya comedy, ‘The Barbershop’ imerudi tena ikiwa na sura mpya ambazo hazikuwepo katika filamu zilizopita.

barbershopheader

Waigizaji waliokuwepo toka filamu ya kwanza ni Ice Cube, Eve, Cedric The Entertainer na Anthony Anderson. Katika filamu mpya ‘The Barbershop: The Next Cut’ walioongezeka ni Nicki Minaj, Tyga na Comon. Inatarajiwa kutoka April 15, 2016.

Tazama trailer

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani