Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shaa kuachia video iliyoongozwa na Justin Campos ‘soon’

12276763_1690577784491299_435922388_n

Hivi karibuni wasanii wamekuwa na tabia ya kushoot video kali na kukaa nazo ndani bila kusema chochote.

12276763_1690577784491299_435922388_n

Shaa ni mmoja wapo. Ukimya wake haumaanishi kuwa hakuna vitu vikubwa vinavyofanyika nyuma ya pazia. Muimbaji huyo miezi kadhaa iliyopita alisafiri hadi Afrika Kusini kwenda kushoot video ya wimbo wake na muongozaji aliyejikusanyia sifa Afrika, Justin Campos.

Mke wa Justin, Candice, amepost picha ya screeshot kwenye Instagram kutoka kwenye kile kinachoonekana ni video ya wimbo huo uitwao...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama kionjo cha video mpya ya Shaa ‘Toba’ iliyoongozwa na Justin Campos

Shaa MTV

Masaa machache kabla video ya wimbo mpya wa Shaa ‘Toba’ haijatambulishwa rasmi kupitia MTV Base, muimbaji huyo ametupa kionjo kidogo.

Video hiyo imeongozwa na director wa Afrika Kusini, Justin Campos. Usikose kuitazama leo jioni (Nov.23) saa 12 kamili kupitia MTV Base ‘Spanking New’

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video ya Shaa ‘Toba’ iliyoongozwa na Campos kutambulishwa na MTV Base Jumatatu Nov.23

Shaa MTV

Ile video mpya ya Shaa aka Malkia wa Uswazi, ‘Toba’ aliyoshoot na muongozaji Justin Campos wa Afrika Kusini na kukaa nayo ndani kwa muda mrefu, sasa itatambulishwa Jumatatu ya November 23.

Shaa MTV

Video hiyo itaoneshwa kwa mara ya kwanza na kituo cha MTV Base kupitia segement yao ya kutambulisha video mpya ‘Spanking New’, saa 12 za jioni saa za Afrika Mashariki.

Wimbo na video hiyo ni muendelezo wa kazi za Shaa kwenye mkataba wake na Said Fella pamoja na Babu Tale ambao pia ndio walihusika na...

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini, G-Nako na Nikki Wa Pili kuachia single 3 mpya wiki Ijayo, 2 zimefanyiwa video na Justin Campos

Rappers wa Weusi wako tayari kulichafua anga la muziki kwa kuachia ngoma tatu mpya wiki Ijayo baada ya uchaguzi. Takribani miezi miwili iliyopita Joh Makini na G-Nako walienda Afrika Kusini kushoot video mbili mpya, moja ikiwa ni collabo ya Joh na rapper wa Afrika Kusini, AKA ‘Don’t Bother’ na nyingine ni single ya G-Nako iitwayo […]

 

9 years ago

Bongo5

Chege atua South kushoot video na Justin Campos

Chege Chigunda amewasili nchini Afrika Kusini kwaajili ya maandalizi ya video yake mpya ya wimbo ‘Sweety Sweety’ aliyowashirikisha Runtown pamoja na Uhuru. Akizungumza na Bongo5 akiwa nchini Afrika Kusini, Chege alisema kila kitu kinaenda sawa na muongozaji Justin campos kutoka kwa Gorilla Films ndio ataongoza video hiyo. “Ndio tupo kwenye maandalizi ya video niliyomshirikisha, Runtown […]

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol aenda Afrika Kusini kushoot video na Justin Campos

Ben na Campos2

Ben Pol ameongezeka kwenye orodha (inayozidi kuwa ndefu) ya wasanii wa Tanzania wenye mipango au walioishaenda Afrika Kusini kushoot video zao za muziki.

Ben na Campos2
Ben Pol akiwa na Justin Campos na timu yake na Rossie M Afrika Kusini

King wa RnB ameamua kufunga safari kwenda Johannesburg kwaajili ya kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Ningefanyaje’ aliowashirikisha Avril wa Kenya na msanii mpya Rossie M, ambayo amechagua kufanya na director Justin Campos wa Gorilla Films.

Kwanini kamchagua Justin Campos...

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol kuelekea Afrika Kusini kufanya video ya ‘Ningefanyaje’ na Justin Campos

Mwimbaji wa R&B, Ben Pol amesema anatarajia kwenye nchini Afrika Kusini kufanya video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ na muongozaji Justin Campos. Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa, ameamua kuwekeza zaidi kwenye muziki wake ili apate mafanikio makubwa. “Video na-shoot kuanzia tarehe 20 na director Justin Campos South Africa,” alisema Ben Pol. “Kuna sababu kama tatu au […]

 

9 years ago

Bongo5

Shilole kumfuata Justin Campos South kushoot video ya ‘Nyan’ganyan’ga’

12317646_433491596836445_505233921_n

Shilole anatarajia kusafiri kwenye nchini Afrika Kusini kufanya video ya wimbo wake ‘Nyan’ganyan’ga’ na Justin Campos.

12317646_433491596836445_505233921_n

Shishi ameiambia Bongo5 kuwa wiki ijayo atasafiri kwaajili ya kwenda kufanya kazi hiyo.

“Nashukuru Mungu ngoma yangu (Nyan’ganyan’ga) inafanya vizuri katika media mbalimbali. Hapa ninavyoongea nipo kwenye maandalizi ya kwenda kufanya video Afrika Kusini. Video nafanya na Justin Campos na maandalizi yapo tayari wiki ijayo nitasafiri,” amesema Shilole.

Hata hivyo Shilole...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Jux aanza ku-tease video mpya ‘One More Night’ aliyoshoot na Justin Campos

Jux - onemorenight-2

Baada ya Vanessa Mdee kuachia video ya ‘Never Ever’ mwezi uliopita, Jux naye ameanza ku-tease wimbo wake mpya, ikiwa ni ishara kuwa muda si mrefu anaweza kuachia kazi nyingine baada ya ‘Looking For You’.

Jux - onemorenight-1
Moja ya picha za video hiyo

Kwa wiki mbili sasa Jux amekuwa aki-tease picha (screenshot) za video ya wimbo huo, huku akiweka hashtag ‘ONE MORE NIGHT’ kuashiria ndio jina la wimbo.

Jux - onemorenight-2

Kwenye picha hizo ameandika captions hizi:

-Natamani tusingefanya I need #onemorenight
-Nilionja sijashiba...

 

9 years ago

Bongo5

Exclusive: Top video director Justin Campos opens up about working with Tanzanian artistes and more

campos2

Justin Campos is the award winning music video director from South Africa.

campos2

Justin’s involvement in the Entertainment industry began in 1994 when he started writing “groove tracks” in studio. Before the age of seventeen he had progressed to the role of co-producer on advertising jingles for both SA and the international market, working with his brother D-Rex out of a tiny, hand-built studio in Blairgowrie. After a successful run of four years, during which the pair produced soundtracks for...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani