Director Khalfani asema wasanii wanachangia kuwafanya ma-director wa TZ wasifike viwango vya kimataifa
Director wa video za muziki nchini, Khalfani amesema kuwa kitendo cha wasanii wa Tanzania kutotumia waongozaji wa video wa hapa nyumbani ni moja ya sababu inayowafanya ma-director hao wasifike viwango vya kimataifa. “Hivi we unajua kwamba wasanii wa Tanzania ndio wanachangia asilimia nyingi tu kutushusha sisi,” alisema Khalfani kupitia Planet Bongo ya EA Radio. “Ila […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo505 Oct
Video ya wasanii wa Ghana iliyoshutiwa Zanzibar na director Justin Campos akisaidiwa na Hanscana na Khalfani
10 years ago
Bongo523 Jan
Director Kevin Bosco wa Kenya: Hanscana is the director to watch, trust me
11 years ago
IPPmedia25 Feb
Wildlife Director and Assistant Director axed
IPPmedia
IPPmedia
Natural Resources and Tourism minister Lazaro Nyalandu briefs journalists in Dar es Salaam yesterday. (Photo: Guardian Photographer). Natural Resources and Tourism minister Lazaro Nyalandu has dismissed Prof Alexander Songorwa the Director of ...
10 years ago
Bongo512 Nov
AT awataka wasanii kuacha kuwadharau ma-director wa Tanzania
9 years ago
Bongo511 Dec
Justin Campos atoa ushauri kwa ma-director wa Tanzania, asema anamkubali zaidi Hanscana
![justin2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/justin2-300x194.jpg)
Justin Campos ni jina linalotajwa sana kwa sasa linapokuja swala ya video za muziki. Huyu ni muongozaji wa video kutoka Afrika Kusini ambaye alianza kufahamika zaidi Tanzania baada ya kufanya kazi na Vanessa Mdee ‘No Body But Me’.
Kupitia kampuni yake ya Gorilla Films, Justin na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wamefanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania hadi sasa, na kuna wengine wanaendelea kuwatafuta ili wafanye kazi.
Katika mahojiano Exclusive na Bongo5, Justin...
9 years ago
Bongo513 Oct
Director Hanscana asema video ya ‘Siri’ ya Vanessa ndio inayomletea wateja kutoka nje ya Tanzania
9 years ago
Bongo520 Nov
Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base
![enos4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/enos4-300x194.jpg)
Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.
Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.
Bongo5...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
TMC : Machinjio yetu yanakidhi viwango vya kimataifa
MFANYABIASHARA yeyote anayethamini uhai wa binadamu, lazima atazingatia usafi wa mazingira katika shughuli zake za kila siku zinazomuingizia kipato. Japokuwa jamii haina uelewa wa kutosha kuhusiana na usafi wa mazingira,...
10 years ago
VijimamboFilamu ya Mpango Mbaya ina viwango vya Kimataifa