Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Director Khalfani asema wasanii wanachangia kuwafanya ma-director wa TZ wasifike viwango vya kimataifa

Director wa video za muziki nchini, Khalfani amesema kuwa kitendo cha wasanii wa Tanzania kutotumia waongozaji wa video wa hapa nyumbani ni moja ya sababu inayowafanya ma-director hao wasifike viwango vya kimataifa. “Hivi we unajua kwamba wasanii wa Tanzania ndio wanachangia asilimia nyingi tu kutushusha sisi,” alisema Khalfani kupitia Planet Bongo ya EA Radio. “Ila […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video ya wasanii wa Ghana iliyoshutiwa Zanzibar na director Justin Campos akisaidiwa na Hanscana na Khalfani

Muongozaji wa video Justin Campos wa kampuni ya Gorilla Films ya Afrika Kusini alikuja Zanzibar mwezi June mwaka huu kufanya video ya kundi la muziki kutoka Ghana liitwalo Konfi. Justin Campos, Hanscana na Khalfani Campos alikuwa na wenyeji wake ambao ni ma-director wa Tanzania, mshindi wa Tuzo Za Watu 2015 Hanscana na Khalfani ambao ndio […]

 

10 years ago

Bongo5

Director Kevin Bosco wa Kenya: Hanscana is the director to watch, trust me

Director Kevin Bosco Jnr aliyeongoza video mpya ya Mwana FA ‘Kiboko Yangu’ na zingine kibao, amemtabiria makubwa director mpya wa Bongo ambaye ameanza kuonesha dalili njema kupitia video chache alizofanya ikiwemo WCD ya kina Vanessa Mdee, pamoja na ‘Moyoni ‘ ya Navy Kenzo. Kevin Bosco Jnr Director huyo wa Kenya aliulizwa ma-director wa Bongo anaowazimia: […]

 

11 years ago

IPPmedia

Wildlife Director and Assistant Director axed


IPPmedia
Wildlife Director and Assistant Director axed
IPPmedia
Natural Resources and Tourism minister Lazaro Nyalandu briefs journalists in Dar es Salaam yesterday. (Photo: Guardian Photographer). Natural Resources and Tourism minister Lazaro Nyalandu has dismissed Prof Alexander Songorwa the Director of ...

 

10 years ago

Bongo5

AT awataka wasanii kuacha kuwadharau ma-director wa Tanzania

Msanii wa muziki wa mduara, AT amechukizwa na baadhi ya wasanii wa Tanzania kuwadharau ma-director wa nyumbani. Akizunzungumza na Bongo 5 leo, AT amesema wasanii kuendelea kufanya video na waongozaji wa nje ni kuupoteza kabisa muziki wa Tanzania. “Wasanii wanalaumu sana directors wa Tanzania, wanadiriki kusema kuwa Tanzania hakuna directors, lakini siyo kweli inatakiwa ifikie […]

 

9 years ago

Bongo5

Justin Campos atoa ushauri kwa ma-director wa Tanzania, asema anamkubali zaidi Hanscana

justin2

Justin Campos ni jina linalotajwa sana kwa sasa linapokuja swala ya video za muziki. Huyu ni muongozaji wa video kutoka Afrika Kusini ambaye alianza kufahamika zaidi Tanzania baada ya kufanya kazi na Vanessa Mdee ‘No Body But Me’.

justin2

Kupitia kampuni yake ya Gorilla Films, Justin na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wamefanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania hadi sasa, na kuna wengine wanaendelea kuwatafuta ili wafanye kazi.

Katika mahojiano Exclusive na Bongo5, Justin...

 

9 years ago

Bongo5

Director Hanscana asema video ya ‘Siri’ ya Vanessa ndio inayomletea wateja kutoka nje ya Tanzania

Director wa video za muziki, Hanscana amekiri kuwa video ya Vanessa Mdee ‘Siri’, ndio iliyomfungulia soko la wasanii wa nje kuja kufanya naye video hapa Tanzania. Hanscana ambaye wiki chache zilizopita ameshoot video mpya ya Avril na Ay jijini Dar es salaam, ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa ameshafanya video za wasanii wapatao sita kutoka nje […]

 

9 years ago

Bongo5

Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base

enos4

Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.

enos-2

Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.

enos4

Bongo5...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TMC : Machinjio yetu yanakidhi viwango vya kimataifa

MFANYABIASHARA yeyote anayethamini uhai wa binadamu, lazima atazingatia usafi wa mazingira katika shughuli zake za kila siku zinazomuingizia kipato. Japokuwa jamii haina uelewa wa kutosha kuhusiana na usafi wa mazingira,...

 

10 years ago

Vijimambo

Filamu ya Mpango Mbaya ina viwango vya Kimataifa

Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Group, Bw Johnson Lukaza akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa filamu ya Mpango Mbaya iliyochezwa na washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) mwaka 2014, uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa sinema wa century uliopo Mlimani City, Jijini Dar Es Salaam. Filamu hii ni moja ya filamu ambayo ina ubora wa hali ya juu huku wadau waliofanikiwa kuitazama filamu hiyo kuvutiwa nayo na kukubali kuwa ni filamu yenye viwango vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani