AT awataka wasanii kuacha kuwadharau ma-director wa Tanzania
Msanii wa muziki wa mduara, AT amechukizwa na baadhi ya wasanii wa Tanzania kuwadharau ma-director wa nyumbani. Akizunzungumza na Bongo 5 leo, AT amesema wasanii kuendelea kufanya video na waongozaji wa nje ni kuupoteza kabisa muziki wa Tanzania. “Wasanii wanalaumu sana directors wa Tanzania, wanadiriki kusema kuwa Tanzania hakuna directors, lakini siyo kweli inatakiwa ifikie […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Oct
Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa
9 years ago
Bongo505 Oct
AY awataka wasanii kuacha kuogopa kuuliza mambo wasiyoyajua
9 years ago
Bongo521 Nov
Mwasiti awataka wasanii kuacha kufuata mkumbo kufanya video nje
![12093648_1677922595778221_1833644946_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12093648_1677922595778221_1833644946_n-300x194.jpg)
Mwasiti Almas amewataka wasanii kuacha kufuata mkumbo wa kwenda kufanya video nje wakati bado hawajajipanga jinsi ya kufanya mwendelezo.
Akizungumza na Bongo5 leo, Mwasiti amesema wasanii wanatakiwa kujiangalia mara mbili mbili kabla ya kufanya maamuzi hayo.
“Kwanza kabisa tusifuate mkumbo, tusifuate mkumbo kwa sababu fulani na fulani wamefanya video Afrika Kusini na wewe au wote tukafanye video Afrika Kusini,” amesema.
“Kwanza lazima ujiangalie kama kweli huo ni wakati wako. Hata mimi...
11 years ago
Mwananchi29 Jun
awataka wasanii Bongo fleva kuwa makini na kuacha sifa ili kusonga mbele
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-40BW-P8pNBM/VB64KqumI-I/AAAAAAACrWc/2cpmvYbQeYc/s72-c/8.jpg)
AFANDE SELE AWAASA WASANII KUUNGANA NA KUWA KITU KIMOJA,AWATAKA KUACHA TABIA YA KUBAGUANA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-40BW-P8pNBM/VB64KqumI-I/AAAAAAACrWc/2cpmvYbQeYc/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1KSLZSWICbI/VB64EKkXZGI/AAAAAAACrVA/s2_JJoapqNk/s1600/13.jpg)
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Ni vema kutafiti kabla kuwadharau wasanii
WIKI iliyopita kwenye gazeti hili (la Raia Mwema) kulikuwa na makala yenye kichwa: “Baraza jipya
Mwandishi Wetu
9 years ago
Bongo516 Oct
Director Khalfani asema wasanii wanachangia kuwafanya ma-director wa TZ wasifike viwango vya kimataifa
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Naibu waziri awataka wanawake kuacha woga
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Obama awagusa Wakenya, awataka kuacha ukabila