Obama awagusa Wakenya, awataka kuacha ukabila
>Rais wa Marekani, Barack Obama amezungumzia safari yake ya kwanza aliyoifanya Kenya, mwaka 1988 na kupoteza begi lake baada ya kushuka katika Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo512 Nov
AT awataka wasanii kuacha kuwadharau ma-director wa Tanzania
Msanii wa muziki wa mduara, AT amechukizwa na baadhi ya wasanii wa Tanzania kuwadharau ma-director wa nyumbani. Akizunzungumza na Bongo 5 leo, AT amesema wasanii kuendelea kufanya video na waongozaji wa nje ni kuupoteza kabisa muziki wa Tanzania. “Wasanii wanalaumu sana directors wa Tanzania, wanadiriki kusema kuwa Tanzania hakuna directors, lakini siyo kweli inatakiwa ifikie […]
9 years ago
Bongo516 Oct
Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa
Muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Aslay amewaka wasanii wachanga kuepuka tamaa za mafanikio ya haraka. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa alijitahidi kupambana na watu ambao walikuwa wanajaribu kumlaghai ili wampoteze. “Unajua watu wanavyokuona sehemu wanaweza wakakulaghai ili uone hapafai,”amesema. “Mimi nimekutana na watu kama hao, sana lakini kwenye kichwa changu nilikuwa naamini ninachokifanya. Pia tamaa […]
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Naibu waziri awataka wanawake kuacha woga
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki amewataka wanawake nchini kuacha woga na kujibweteka badala yake wabadilike, wajijengee uwezo na kujitokeza katika fursa mbalimbali za kuwania uongozi.
9 years ago
Bongo505 Oct
AY awataka wasanii kuacha kuogopa kuuliza mambo wasiyoyajua
Rapper AY amewataka wasanii wa Tanzania kuacha woga wa kuuliza vitu wasivyovijua. AY ameliambia gazeti la Mwananchi kuwa wasanii wengi wa Tanzania ni waoga wa kuuliza. “Wasanii wa Tanzania ni waoga kuuliza yale wasioyajua au wanayajua ila hawana uhakika nayo,” alisema. “Wengine hudhani kuwa wanajua mengi kuliko waliowatangulia. Tusiwe waoga kuuliza na kufatilia yanayohusu tasnia […]
9 years ago
Habarileo24 Nov
Mbunge awataka wananchi kuacha siasa, wachape kazi
MBUNGE wa Manonga, Seif Gulamali, amewataka watumishi wa serikali katika jimbo hilo kutojihusisha na siasa na badala yake wawahudumie wananchi kutokana na maadili ya kazi zao.
11 years ago
Mwananchi29 Dec
Askofu awataka vijana kuacha ndoto za maisha ya mkato
>Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Titus Mdoe amewataka vijana nchini, kuhakikisha wanapata elimu bora itakayowawezesha kufanikisha ndoto zao kwa njia zisizo za mashaka.
10 years ago
Vijimambo26 Jul
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X9fNYiASwUU/XlkVK7neQwI/AAAAAAALf14/gZXGvWJQud8bcv9stwox9defM_mxQ_b9QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AWATAKA POLISI KUACHA KUZALISHA MAHABUSU MAGEREZANI
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amelitaka Jeshi la Polisi kuangalia aina ya makosa ya watuhumiwa ambayo yana dhaminika ili kupunguza mlundikano wa mahabusu Magerezani.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukagua miradi ya maendeleo ya Jeshi la Magereza na baadaye kuzungumza na Maafisa na Askari wa Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dodoma, leo, Simbachawene alisema Jeshi hilo linakabiliwa na changamoto ya idadi kubwa ya mahabusu ukilinganisha na wafungwa waliopo...
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukagua miradi ya maendeleo ya Jeshi la Magereza na baadaye kuzungumza na Maafisa na Askari wa Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dodoma, leo, Simbachawene alisema Jeshi hilo linakabiliwa na changamoto ya idadi kubwa ya mahabusu ukilinganisha na wafungwa waliopo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Hbwf3SWxfFE/Xlf7YV8RN2I/AAAAAAAA9H0/yREK6B889mQllKCSsXMnAyjqgaoiyUdTACNcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0466-768x512.jpg)
SPIKA MSTAAFU ANNE MAKINDA AWATAKA WANAWAKE KUACHA UOGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hbwf3SWxfFE/Xlf7YV8RN2I/AAAAAAAA9H0/yREK6B889mQllKCSsXMnAyjqgaoiyUdTACNcBGAsYHQ/s640/DSC_0466-768x512.jpg)
Spika msaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amewataka wanawake nchini kuacha uoga katika wakati wa mapambano ya kutafuta fursa mbalimbali za kielimu, uchumi na siasa vinginevyo masuala ya usawa wa kijinsia itabaki kuwa ndoto.
Makinda amesema hayo jijini DODOMA katika Kongamano la uzinduzi wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambalo pamoja na mambo mengine limejadili utekelezaji wa maazimio ya ulingo wa Beijing yaliyowekwa miaka 25 iliyopita.
![](https://1.bp.blogspot.com/-bcutGTjgzL0/Xlf8BzpC1sI/AAAAAAAA9IM/LVbjMEMKwDMG32B2FVbmjL1nlG3Us1JjwCNcBGAsYHQ/s640/IMG_6532AA.jpg)
Amesema wanawake...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania