WAZIRI SIMBACHAWENE AWATAKA POLISI KUACHA KUZALISHA MAHABUSU MAGEREZANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-X9fNYiASwUU/XlkVK7neQwI/AAAAAAALf14/gZXGvWJQud8bcv9stwox9defM_mxQ_b9QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amelitaka Jeshi la Polisi kuangalia aina ya makosa ya watuhumiwa ambayo yana dhaminika ili kupunguza mlundikano wa mahabusu Magerezani.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukagua miradi ya maendeleo ya Jeshi la Magereza na baadaye kuzungumza na Maafisa na Askari wa Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dodoma, leo, Simbachawene alisema Jeshi hilo linakabiliwa na changamoto ya idadi kubwa ya mahabusu ukilinganisha na wafungwa waliopo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eSEQmF5r2SQ/Xk0_VtTP5VI/AAAAAAALeWM/JdjQhHCN0PAp6RhvzUztPF-uL6yfvt5mQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-1-1024x682.jpg)
SIMBACHAWENE AWATAKA WATENDAJI WAKUU POLISI KUWAHOJI WATUHUMIWA WALIOPO MAHABUSU ZA POLISI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-eSEQmF5r2SQ/Xk0_VtTP5VI/AAAAAAALeWM/JdjQhHCN0PAp6RhvzUztPF-uL6yfvt5mQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-1-1024x682.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qHLsR_KNJdY/XtI1mFhsWKI/AAAAAAALsEY/RmfNQ8Yh7OQi_EGjc7CPAdTuiVskSFAdQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-2AAA-1-768x576.jpg)
SIMBACHAWENE: SERIKALI IPO KATIKA MCHAKATO KUHAKIKISHA MAHABUSU NCHINI WANAFANYA KAZI MAGEREZANI KAMA WAFUNGWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qHLsR_KNJdY/XtI1mFhsWKI/AAAAAAALsEY/RmfNQ8Yh7OQi_EGjc7CPAdTuiVskSFAdQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-2AAA-1-768x576.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-8ygaM2K5iIE/Xu8RGcdclvI/AAAAAAAC8C0/K_97K4ZSVWAmYl-AQpq91GFizo_D4-GygCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AMPONGEZA CGP KWA MABADILIKO MAKUBWA MAGEREZANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ygaM2K5iIE/Xu8RGcdclvI/AAAAAAAC8C0/K_97K4ZSVWAmYl-AQpq91GFizo_D4-GygCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Na Felix Mwagara, MOHA, Morogoro.WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema kasi ya utendaji kazi wa Kamishna Generali wa Jeshi la Magereza Nchini, (CGP) Suleiman Mzee, imemfurahisha kutokana na mabadiliko makubwa ya maendeleo kwa kipindi cha muda mfupi tangu alipoteuliwa kuliongoza Jeshi hilo.
Akizungumza katika hafla ya kuzindua mashine ya kuchimbia ‘excavator’ iliyofanyika Gereza la Mbigili, Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, jana Waziri Simbachawene alisema Jeshi la...
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE: KIFUNGO CHA NJE SULUHISHO MSONGAMANO MAGEREZANI NCHINI
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Naibu waziri awataka wanawake kuacha woga
11 years ago
Michuzi13 Jun
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA AWATAKA MADEREVA NA WAMILIKI WA DALALDALA KUACHA MGOMO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L6XKePmEVkQ/Xt5GupBt7VI/AAAAAAALtFI/MTxiTcTIK28XXt5zwyrxlcWB4zj0FPVEACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-768x512.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA TUME YA JESHI LA POLISI, MAGEREZA NA UHAMIAJI JIJINI DODOMA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-L6XKePmEVkQ/Xt5GupBt7VI/AAAAAAALtFI/MTxiTcTIK28XXt5zwyrxlcWB4zj0FPVEACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIX-2AA-1024x682.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AKUTANA NA WAJUMBE WA BODI YA SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI JESHI LA POLISI, JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vK-RlOM7S2U/XoSGNltLRTI/AAAAAAALlyM/N3Icm0e6-9c_f5iONVKgKusIUPbGrySHQCLcBGAsYHQ/s72-c/TITO%2BMAGOTI.jpg)
OFISA LHRC ANAYESHTAKIWA KWA UTAKATISHAJI FEDHA ASEMA VIRUSI VYA CORONA VIMESABABISHA MAHABUSU KUISHI KWA HOFU KUBWA MAGEREZANI
Na Karama Kenyunko,Michuzi TV
MSHTAKIWA Tito Magoti ambaye ni Ofisa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), amedai licha ya Serikali kupunguza msongamano wa watu katika maeneo mbalimbali nchini ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona, mahabusu wanaishi kwa hofu kubwa kutokana na mlundikano uliopo huko gerezani.
Magoti anashtakiwa pamoja na Theodory Giyani (36) ambaye ni mtaalamu wa Tehama katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10