Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni vema kutafiti kabla kuwadharau wasanii

WIKI iliyopita kwenye gazeti hili (la Raia Mwema) kulikuwa na makala yenye kichwa: “Baraza jipya

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

AT awataka wasanii kuacha kuwadharau ma-director wa Tanzania

Msanii wa muziki wa mduara, AT amechukizwa na baadhi ya wasanii wa Tanzania kuwadharau ma-director wa nyumbani. Akizunzungumza na Bongo 5 leo, AT amesema wasanii kuendelea kufanya video na waongozaji wa nje ni kuupoteza kabisa muziki wa Tanzania. “Wasanii wanalaumu sana directors wa Tanzania, wanadiriki kusema kuwa Tanzania hakuna directors, lakini siyo kweli inatakiwa ifikie […]

 

9 years ago

Bongo5

Darassa awataka wasanii kujiimarisha nyumbani kabla ya kufikiria kwenda kimataifa

Rapper Darassa amewataka wasanii kuacha kuiga njia aliyotumia Diamond Platnumz kwenda kimataifa na kuanza kwanza kujiimarisha hapa Tanzania pamoja na Afrika Mashariki. Darassa ameiambia Bongo5 kuwa wasanii wanatakiwa kukubalika kwanza ndani kabla ya kutaka kutoka nje. “Kila mtu anamwona Diamond alivyopata mafanikio zaidi baada ya kufanya kolabo na Davido na akaupeleka muziki wake Nigeria,” amesema […]

 

9 years ago

Bongo5

Vitu gani wasanii wa nje wanavyoviangalia kabla ya kukubali kufanya collabo? — Shetta ana majibu

Collabo za kimataifa ni kitu muhimu kwa mwanamuziki yeyote mwenye malengo ya kujitangaza zaidi nje ya mipaka ya nyumbani. Japo sio kazi rahisi kwa msanii kupata collabo na wasanii wakubwa wa nje kama msanii huyo asipozingatia vitu muhimu. Moja ya faida za collabo ni pande zote mbili kupata mashabiki wapya kutoka kila upande wa wasanii […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara kutafiti zao la minazi

SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imesema imeanzisha ushirikiano na nchi ya Sri-Lanka ambayo yapo katika hatua za mwisho ili kuingia makubaliano katika utafiti wa zao la minazi....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tume kutafiti kasoro sheria za walaji

TUME ya Marekebisho ya Sheria nchini imeanza kufanya utafiti katika mapitio ya mfumo wa sheria unaosimamia haki za walaji, ili kubaini kasoro zilizoko kwenye mfumo husika kwa sasa. Akizungumza na...

 

9 years ago

Habarileo

NHC, IET kutafiti gharama za nyumba

MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu amesema wanajiandaa kushirikiana na Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET), kufanya utafiti ili kupata majawabu ya kupunguza gharama za ujenzi wa nyumba nchini, kuwezesha mwananchi wa kawaida kumiliki nyumba bora kwa bei nafuu.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania, Sri Lanka kutafiti pamoja minazi

SERIKALI iko katika hatua mwisho ili kuingia makubaliano ya ushirikiano (MoU) na Sri Lanka katika utafiti wa zao la minazi kwa kuzingatia kuwa nchi hiyo imepiga hatua katika utafiti wa magonjwa ya minazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani