Darassa awataka wasanii kujiimarisha nyumbani kabla ya kufikiria kwenda kimataifa
Rapper Darassa amewataka wasanii kuacha kuiga njia aliyotumia Diamond Platnumz kwenda kimataifa na kuanza kwanza kujiimarisha hapa Tanzania pamoja na Afrika Mashariki. Darassa ameiambia Bongo5 kuwa wasanii wanatakiwa kukubalika kwanza ndani kabla ya kutaka kutoka nje. “Kila mtu anamwona Diamond alivyopata mafanikio zaidi baada ya kufanya kolabo na Davido na akaupeleka muziki wake Nigeria,” amesema […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
DC LUDEWA AWATAKA MADIWANI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WANARIPOTI SHULENI KABLA YA MACHI 31
Mkuu wa wilaya ya Ludewa mkoani njombe Andrea Tsere amewataka madiwani wa kata mbalimbali pamoja na wakuu wa shule kuhakikisha wanafunzi 645 wa kidato cha kwanza ambao hawajaripoti shuleni kuanza masomo, wanaripoti kabla ya march 31 kuanza masomo hayo.
Agizo hilo amelitoa katika mkutano wa wadau wa elimu uliofanyika hivi karibuni wilayani humo ambao ulishirikisha madiwani, wakuu wa shule, pamoja na wadau wengine kutoka Nyanja mbalimbali.
Alisema jumla ya wanafunzi...
9 years ago
Bongo504 Dec
Cassim adai kuzipa exclusive TV za nje kabla ya nyumbani si kitu kizuri

Hitmaker wa Subira, Cassim Mganga amesema haoni kama ni ufahari kupeleka video yake ikaoneshwe kama exclusive kwenye vituo vya runinga vya nje na kuwaacha watanzania wengi wakisubiria.
Akizungumza na Bongo5, Cassim amesema haoni uzito wa suala hilo kama ambavyo wengine wanavyolichukulia.
“Mimi na video yangu ya Subira nilisema nisianzie huko, kwanini mtu upate exclusive huko ndio uonekane kwamba wewe unakwenda kimataifa?” amehoji.
“Hata hapa nyumbani ni kimataifa vile vile wanaweza...
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Watanzania walio nje washauriwa kurejea nyumbani kabla ya Jumamosi
11 years ago
Michuzi.jpg)
TIMU YA WATOTO WA MITAANI YAKABIDHIWA VIFAA KABLA YA KWENDA BRAZIL MASHINDANONI
.jpg)
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Ni vema kutafiti kabla kuwadharau wasanii
WIKI iliyopita kwenye gazeti hili (la Raia Mwema) kulikuwa na makala yenye kichwa: “Baraza jipya
Mwandishi Wetu
11 years ago
Mwananchi01 May
Hakimu aombwa kwenda kumsomea mashtaka kigogo wa MSD nyumbani
10 years ago
Bongo521 Oct
Majuto awataka vijana kwenda Hijja, adai nchi itakuwa na amani
10 years ago
Vijimambo