TIMU YA WATOTO WA MITAANI YAKABIDHIWA VIFAA KABLA YA KWENDA BRAZIL MASHINDANONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-S1WZylbPjN4/UzM6tSjjclI/AAAAAAAFWtc/IFdXI5jMbAc/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Mkurugenzi na muasisi wa taasisi ya Tanzania Street Children (TSC), Bw. Altaf Hirani akimkabidhi vifaa vya jezi meneja msafara wa timu ya watoto wa mitaani ya Tanzania, Majuto Ismail, jijini Mwanza kabla ya kuondoka nchini kuelekea nchini Brazil kushiriki michuano ya kombe la dunia la watoto wa mitaani. Picha na Moses Mashalla.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmaORCaPHcjTv8XcxkjJysyB2az*X*fYkLlqefv*1I6qBed-Gfu68rGjbGwyknfJ6K8Ylsl6N6rkfm3TBlMSvWVL/watotowamitaani.jpg?width=650)
TIMU YA WATOTO WA MITAANI YA TANZANIA YATWAA KOMBE LA DUNIA BRAZIL
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YgFp4I6jcxA/U0FjCX99qxI/AAAAAAAFY1E/XqaPgNY6YTw/s72-c/watoto+wa+mitaani.jpg)
JUST IN: TIMU YA WATOTO WA MITAANI YATINGA FAINALI KOMBE LA DUNIA NCHINI BRAZIL
![](http://2.bp.blogspot.com/-YgFp4I6jcxA/U0FjCX99qxI/AAAAAAAFY1E/XqaPgNY6YTw/s1600/watoto+wa+mitaani.jpg)
Hadi mapumziko Tanzania ilikuwa mbele kwa mabao 4-0. Bao pekee la Marekani katika mchezo huo ambayo hadi nusu fainali ilikuwa haijafungwa lilifungwa dakika za mwisho.
Kwa matokeo hayo, Tanzania inacheza nusu fainali na Burundi....
9 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA PARALYMPIC YAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI MICHEZO YA AFRIKA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q033vaPfAds/VhxNRsIJvDI/AAAAAAAH_mY/GDBYwFXgMr4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Timu ya Taifa ya wanawake ya Mchezo wa Mpira wa Magongo yakabidhiwa bendera kabla ya kuelekea Afrika ya kusini baada ya
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q033vaPfAds/VhxNRsIJvDI/AAAAAAAH_mY/GDBYwFXgMr4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2dTTJKrNGn8/VhxNRja4vrI/AAAAAAAH_mg/YG0zMhPPt3s/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Watoto wa mitaani watinga fainali Brazil
TIMU ya taifa ya watoto wa mitaani ya Tanzania, imetinga fainali za Kombe la Dunia la Watoto wa Mitaani baada ya kuichapa Marekani mabao 6-1 katika mchezo wa kwanza wa...
11 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA CHESS YAKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA KWENDA KUSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA NCHINI NORWAY