Cassim adai kuzipa exclusive TV za nje kabla ya nyumbani si kitu kizuri
Hitmaker wa Subira, Cassim Mganga amesema haoni kama ni ufahari kupeleka video yake ikaoneshwe kama exclusive kwenye vituo vya runinga vya nje na kuwaacha watanzania wengi wakisubiria.
Akizungumza na Bongo5, Cassim amesema haoni uzito wa suala hilo kama ambavyo wengine wanavyolichukulia.
“Mimi na video yangu ya Subira nilisema nisianzie huko, kwanini mtu upate exclusive huko ndio uonekane kwamba wewe unakwenda kimataifa?” amehoji.
“Hata hapa nyumbani ni kimataifa vile vile wanaweza...
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Watanzania walio nje washauriwa kurejea nyumbani kabla ya Jumamosi
5 years ago
Michuzi09 May
Meridianbet sasa inakuletea kitu kingine kizuri, kufurahia ubashiri
Bashiri matokeo ya mechi zako pendwa za PES zinazochezwa na wachezaji wa soka na timu halisi! Hizi tayari ni timu kubwa na majina makubwa ambayo tayari ulikuwa ukibashiri kabla.
Meridianbet.co.tz inakupa ofa...
9 years ago
Bongo530 Oct
Video: Belle 9 adai waongozaji wa Bongo na location nzuri za nyumbani zinamshawishi kutofikiria kwenda kufanya video nje
![_K0A1374](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/K0A1374-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo523 Oct
Cassim adai anaamini biashara ya album itarejea tena
9 years ago
Bongo502 Nov
Cassim adai Babu Tale hakuwa ‘kiongozi’ wakati yupo Tip Top
![12063201_825333404252455_334874297_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/12063201_825333404252455_334874297_n-94x94.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Sep
AUNT EZEKIEL NA CASSIM MGANGA WATEMBELEA AFRICAN ROOM NYUMBANI KWA DR TEMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa46P8afXxzdWLvS4VIILqgIJdZ5q3QIfcje63jMYNyK1sIzPa3Z3*E8SgODN4wM8zwEsjhQXv-uxHmXNAA5lUrU/p.jpg?width=600)
EXCLUSIVE: BAADA YA HUKUMU, CHEKA AFUNGUKA KILA KITU
9 years ago
Bongo518 Dec
Cyrill adai video na ngoma kali sio kila kitu kwa muziki wa sasa
![kamikaze](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/kamikaze-300x194.jpg)
Staa wa muziki Cyrill Kamikaze, amesema muziki wa sasa sio tu kufanya video kali na ngoma kali ili uweze kutoboa, bali unahitaji kutumia ubunifu zaidi kukidhi viwango vyenye ubora na kufikia soko la kimataifa.
Rapper huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Afica Radio kuwa watu wengi wanafikiri ukiwa na video nzuri ndio unafanikiwa.
“Unaweza ukawa na video kali halafu usihit, muziki ni zaidi ya chupa kali, ukirudishwa miaka fulani nyuma, ngoma kali ndio ilikuwa inahit, lakini sasa...