Cyrill adai video na ngoma kali sio kila kitu kwa muziki wa sasa
Staa wa muziki Cyrill Kamikaze, amesema muziki wa sasa sio tu kufanya video kali na ngoma kali ili uweze kutoboa, bali unahitaji kutumia ubunifu zaidi kukidhi viwango vyenye ubora na kufikia soko la kimataifa.
Rapper huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Afica Radio kuwa watu wengi wanafikiri ukiwa na video nzuri ndio unafanikiwa.
“Unaweza ukawa na video kali halafu usihit, muziki ni zaidi ya chupa kali, ukirudishwa miaka fulani nyuma, ngoma kali ndio ilikuwa inahit, lakini sasa...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Jul
Kenya sasa kila kitu ni Obama
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-mv4LkBQZrAR937GSKYu1zYUCAO7891VfoR3rVKiAos1*eL08g3*p0rAbN9OSWSBNhsqMtY-ZB20vsN9JW2VJXc/Ndauka.jpg?width=650)
ROSE NDAUKA SASA KILA KITU NI MAMA YAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJPe*sjJcD37vWMe2zjrAo8eNqUpayJ2BXmlJ-OaM6CEFY9z0DN2CYLbCTPHgK6inUcrEFJ3CTqJm5GbirfsG9cP/WEWE8.jpg)
RAY: CHUCHU SASA NDO’ KILA KITU KWANGU
10 years ago
Vijimambo13 Aug
DR. SLAA AIBUKA NA KUSEMA ATAWEKA KILA KITU HADHARANI MUDA WOTE KUANZIA SASA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Slaa-13August2015.jpg)
Katika siku za karibuni, Dk. Slaa amekuwa gumzo kutokana na kutoonekana katika shughuli mbalimbali za chama hicho pamoja na mikutano muhimu inayoitishwa na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Akizungumza na NIPASHE kwa njia ya simu jana, Dk....
10 years ago
Bongo526 Feb
Matonya: Sasa hivi kila mwezi na ngoma mpya
9 years ago
StarTV26 Nov
Mtu mmoja afariki kwa kukatwa kwa kitu chenye ncha kali
Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Mwikwabe Mwita mkazi wa Kibasa wilaya ya tarime mkoani Mara amefariki dunia baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali kichwani na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi baada ya kuvamia duka ambalo marehemu alikuwa akifanya kazi ya ulinzi nyakati za usiku
Akiongea kwa masikitika makubwa ya kuuawa kwa mlinzi wa duka lake na kuporwa mali zote zilizo kuwemo ndani ya duka hilo mmiliki wa duka, Chacha marwa analiomba jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xgga0YveZKQ/VXL-EL2JvJI/AAAAAAAAsEI/W10hQJflYt4/s72-c/11001785_937339602945562_8028446290689899808_n.jpg)
HAPO SASA MPAKA KIELEWEKE NGOMA UWANJANI KILA MTU NA KAULI MBIU YAKE KICHWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xgga0YveZKQ/VXL-EL2JvJI/AAAAAAAAsEI/W10hQJflYt4/s640/11001785_937339602945562_8028446290689899808_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/polepole.jpg?resize=702%2C702)
HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO
![](http://i2.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Msigwa.jpg?resize=595%2C300)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLRCNLZsPGrL1nTj5tb9jvXJCsZWAAzHWN*Cka3pFN-0QL5jeAFD7skyHrjk0KbT08KNdhsu1sXVAXTUfWTCxu35/CHEKANAKITIME.jpg)
SHULENI KWA MWANANGU, KILA KITU KINGLEZA!