Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtu mmoja afariki kwa kukatwa kwa kitu chenye ncha kali

Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Mwikwabe Mwita mkazi wa Kibasa  wilaya ya tarime mkoani Mara amefariki dunia baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali kichwani na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi baada ya kuvamia duka ambalo marehemu alikuwa akifanya kazi ya ulinzi nyakati za usiku

 Akiongea kwa masikitika makubwa ya kuuawa kwa mlinzi wa duka lake na kuporwa mali zote zilizo kuwemo ndani ya duka hilo mmiliki wa duka, Chacha marwa  analiomba jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MTU MMOJA AUWAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI MKOANI DODOMA KWA TUHUMA ZA UJAMBAZI

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
 MTU mmoja anayedaiwa kuwa ni Jambazi ameuawa na wananchi baada ya kumpora mwananchi mmoja kiasi cha Sh. 2, 100,000= wa kijiji cha Igoji One Kata ya Mima katika Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP ameeleza kuwa tukio hilo la kumvamia mwananchi huyo huko nyumbani kwake Kijiji cha Igoji one aliyejulikana kwa jina la YARED S/O MAPATANO MSALILA limetokea mnamo...

 

11 years ago

Michuzi

MTU MMOJA AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MOMBA.

MTU MMOJA ALIYETAMBULIKA KWA JINA LA BAKARI DAMSON(27) MKAZI WA MAJENGO AMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA KUGONGWA NA GARI LENYE NAMBA ZA USAJILI ADC 3671 AINA YA TOYOTA LAND CRUISER LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA DEREVA FRANK MATHEW SIKONGA (29) MKAZI WA CHIPAKA.
TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 15.07.2014MAJIRA YA SAA 22:00 USIKU HUKO KATIKA MTAA WA MWAKA, KATA NA TARAFA YA TUNDUMA, WILAYA YA MOMBA, MKOA WA MBEYA. CHANZO CHA AJALI BADO KINACHUNGUZWA. MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA KITUO CHA...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MTU MMOJA AJINYONGA KWA RAFIKI YAKE KWA KUTUMIA KANGA

Na John Gagarini, Kibaha 
 KIJANA Victor Wilfred (29) mkazi wa Keko jijini Dar es Salaam amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia kanga aliyoifunga kwenye dirisha la chumba cha rafiki yake.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Ulrich Matei alisema kuwa marehemu alifika kwa rafiki yake hapa Kibaha kwa lengo la kutafutiwa kazi.
Kamanda Matei amesema kuwa tukio hilo lilitokea leo Aprili 30 mwaka huu majira ya saa 5...

 

9 years ago

Bongo5

Cyrill adai video na ngoma kali sio kila kitu kwa muziki wa sasa

kamikaze

Staa wa muziki Cyrill Kamikaze, amesema muziki wa sasa sio tu kufanya video kali na ngoma kali ili uweze kutoboa, bali unahitaji kutumia ubunifu zaidi kukidhi viwango vyenye ubora na kufikia soko la kimataifa.

kamikaze

Rapper huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Afica Radio kuwa watu wengi wanafikiri ukiwa na video nzuri ndio unafanikiwa.

“Unaweza ukawa na video kali halafu usihit, muziki ni zaidi ya chupa kali, ukirudishwa miaka fulani nyuma, ngoma kali ndio ilikuwa inahit, lakini sasa...

 

9 years ago

StarTV

Ajali ya basi igunga Mtu mmoja afariki, 38 wajeruhiwa

 

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 38 kujeruhiwa baada ya Basi la Allys Coach lenye namba za usajili T 560 AKM lililokuwa likitokea Igunga kuelekea Mwanza kuyumba na kuanguka katika kijiji cha Igogo kata ya Nanga wilayani Igunga Mkoani Tabora.

Ajali hiyo imetokea majira ya saa 12 na nusu asubuhi na chanzo chake kikidaiwa kuwa ni mwendo kasi wa dereva kutaka kulipita gari la mizigo.

Ajali hizi zimekuwa zikigharimu maisha ya watu na wengine kuwaachia ulemavu wa kudumu,sababu zikielezwa ni...

 

10 years ago

StarTV

Mtu mmoja afariki, wengine 21 wajeruhiwa katika ajali Singida

 Na Emmanuel Michael, Singida.

MTU mmoja amefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Kosta walilokuwa wakisafiria kutoka Shinyanga kwenye harusi kurejea nyumbani Morogogo kupinduka mkoani Singida.

 

Ni wakati wa mwingine ambapo mkoa wa Singida umejawa na simanzi na huzuni baada ya kushuhudia mtu mmoja aliyepoteza maisha na wengi 21 wakilazwa kwa matibabu kutokana na ajali ya barabarani.

 

Mkuu wa Wilaya ya Singida Queen Mlozi ni miongoni mwa viongozi wa kwanza...

 

11 years ago

GPL

MTU MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MBARALI

MTEMBEA KWA MIGUU ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA JOFREY MWIDINDA (28) MKAZI MBUYUNI AMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA KUGONGWA NA GARI LENYE NAMBA ZA USAJILI IT 3818 AINA YA TOYOTA COROLA LILILOKUWA LIKIENDESHWANA FRANK NDEGA (30) MKAZI WA SINZA JIJINI DSM. TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 30.04.2014 MAJIRA YA SAA 06:30 ASUBUHI HUKO KATIKA KIJIJI CHA MBUYUNI, KATA YA MAPOGORO, TARAFA YA RUJEWA, WILAYA YA MBARALI, MKOA WA MBEYA...

 

10 years ago

StarTV

Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi Bujumbura.

Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura

Habari kutoka Burundi zinasema kuwa mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Bujumbura.

Mtu huyo alikuwa miongoni mwa waandamanaji wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kugombea urais kwa awamu ya tatu.

Walioshuhudia wanasema kuwa polisi walimpiga mwandamanaji huyo risasi mgongoni wakiwa katika eneo la Musaga linalotazamwa kama ngome ya upinzani.

Waandamanaji walijaribu kufika katikati mwa jiji la Bujumbura lakini walitimuliwa kwa mabomu...

 

9 years ago

StarTV

Mtu Mmoja mbaroni kwa kukutwa na Bastola 1, risasi 9

Polisi mkoani Tanga imemkamata mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Bashiru Hamis maarufu kama Hazari mwenye umri wa miaka 42 mkazi wa Ilala jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na Bastola 1 yenye namba C. 1193 na risasi 9 kwenye magazini.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema mtuhumiwa huyo amekamatwa katika kijiji cha Tengwe wakati akielekea kufanya uhalifu kwenye vituo vya mafuta vilivyopo katika mji wa Mkata wilayani Handeni mkoani Tanga.

Akizungumza na waandishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani