NEWS ALERT: MTU MMOJA AJINYONGA KWA RAFIKI YAKE KWA KUTUMIA KANGA
Na John Gagarini, Kibaha
KIJANA Victor Wilfred (29) mkazi wa Keko jijini Dar es Salaam amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia kanga aliyoifunga kwenye dirisha la chumba cha rafiki yake.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Ulrich Matei alisema kuwa marehemu alifika kwa rafiki yake hapa Kibaha kwa lengo la kutafutiwa kazi.
Kamanda Matei amesema kuwa tukio hilo lilitokea leo Aprili 30 mwaka huu majira ya saa 5...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi30 Apr
AJINYONGA KWA RAFIKI YAKE KWA KUTUMIA KANGA
11 years ago
Michuzi23 Jun
NEWS ALERT:AJALI YAUA MTU MMOJA IRINGA
Taarifa za awali zinaonesha kwamba dereva wa gari hilo jina lake bado halijapatikana ...
11 years ago
Michuzi13 Feb
News alert: mtu mmoja adakwa na vipande 21 vya meno ya tembo mkoani singida leo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Wjj6s503Kv8/Vbs_e0WPR8I/AAAAAAAHs7I/KZ6V_7OEdOM/s72-c/Untitled%252C.png)
NEWS ALERT: SHILOLE AFUNGIWA KUJISHUGHULISHA NA KAZI ZA SANAA KWA MUDA WA MWAKA MMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Wjj6s503Kv8/Vbs_e0WPR8I/AAAAAAAHs7I/KZ6V_7OEdOM/s640/Untitled%252C.png)
Itakumbukwa kuwa mnamo tarehe 09/05/2015 akiwa katika onyesho lake la Muziki nchini Ubelgiji alikiuka maadili ya kazi ya sanaa mbele ya hadhira ya wapenda sanaa za Tanzania na hivyo akadhalilisha utu wake na jamii ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pNZpvu9j9sU/XvNT3Su5TVI/AAAAAAALvRI/dMnO9zpbKmEm76lEcrLAJ94LFvjTBtSUgCLcBGAsYHQ/s72-c/SHUKA.png)
Njombe:Kijana ajinyonga kwa kutumia shuka ndani ya Nyumba
Kijana anayefahamika kwa jina la Chesco Mtega mwenye umri wa miaka 19 mkazi wa kitongoji cha Kanisa A Kijiji cha Ludewa,wilayani Ludewa mkoani Njombe amegundulika amejinyonga kwa kutumia shuka lililofungwa juu ya kenchi na shingoni mwake ndani ya nyumba,huku sababu zikitajwa ni kutokana na msongo wa mawazo (SONONA)
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mkuu wa Wilaya ya Ludewa ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani humo Mh,...
9 years ago
StarTV26 Nov
Mtu mmoja afariki kwa kukatwa kwa kitu chenye ncha kali
Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Mwikwabe Mwita mkazi wa Kibasa wilaya ya tarime mkoani Mara amefariki dunia baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali kichwani na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi baada ya kuvamia duka ambalo marehemu alikuwa akifanya kazi ya ulinzi nyakati za usiku
Akiongea kwa masikitika makubwa ya kuuawa kwa mlinzi wa duka lake na kuporwa mali zote zilizo kuwemo ndani ya duka hilo mmiliki wa duka, Chacha marwa analiomba jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VnfUDN3fm5A/VBGbgleVMJI/AAAAAAAAt_w/EVA-HV6KiCQ/s72-c/IMG-20140911-WA0037.jpg)
NEWZ ALERT:AJALI NYINGINE SINGIDA,YADAIWA MTU MMOJA AMEPOTEZA UHAI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-VnfUDN3fm5A/VBGbgleVMJI/AAAAAAAAt_w/EVA-HV6KiCQ/s1600/IMG-20140911-WA0037.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
NEWS ALERT: MKIMBIZI KUTOKA BURUNDI AFARIKI MKOANI KIGOMA KWA UGONJWA USIOJULIKANA, AZIKWA KWA TAHADHARI KUBWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s320/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mgonjwa huyo amezikwa leo jioni kwa tahadhari zote zihusuzo magonjwa ya kuambukizwa.
Nguo, vitanda, mashuka na vitu vyake vyote alivyokuwa akitumia wakati wa uhai wake vimechomwa moto mara tu baada ya mwili wake kuzikwa eneo la Masanga nje kidogo ya mji wa Kigoma.
(Picha zinaonesha hatua mbalimbali toka...
11 years ago
Michuzi10 Feb
news alert: watano wapanda kizimbani kwa mashtaka ya usambazaji wa Dawa feki za kurefusha maisha kwa waathirika wa Ukimwi