NEWS ALERT: SHILOLE AFUNGIWA KUJISHUGHULISHA NA KAZI ZA SANAA KWA MUDA WA MWAKA MMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Wjj6s503Kv8/Vbs_e0WPR8I/AAAAAAAHs7I/KZ6V_7OEdOM/s72-c/Untitled%252C.png)
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kama msimamizi na mratibu wa sekta ya Sanaa nchini limemfungia msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Zuena Mohamed kwa jina la kisanii Shilole kufanya shughuli za sanaa nchini kwa muda wa mwaka mmoja kuanzia tarehe 24/07/2015 hadi tarehe 24/07/2016.
Itakumbukwa kuwa mnamo tarehe 09/05/2015 akiwa katika onyesho lake la Muziki nchini Ubelgiji alikiuka maadili ya kazi ya sanaa mbele ya hadhira ya wapenda sanaa za Tanzania na hivyo akadhalilisha utu wake na jamii ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo01 Aug
Shilole afungiwa na Basata kwa mwaka mmoja kufanya sanaa
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/SHILOLE390.png)
Staa wa Bongo movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ Zuwena Mohammed ‘Shilole’ akiwa na mpenzi wake Nuh Mziwanda.Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limemfungia Shilole kutojihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa muda wa mwaka mmoja.
Barua kutoka BASATA inasema hivi“Tarehe 9 May 2015 ukiwa katika onyesho lako la muziki Ubelgiji ulicheza uchi mbele ya hadhira ya wapenda sanaa za Tanzania hivyo kudhalilisha utu wako na jamii ya kitanzania kimaadili‘
‘BASATA ilipata habari zako, kumbuka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BASATA YAMFUNGIA SHILOLE MWAKA MMOJA KUJIUSHISHA NA KAZI ZA SANAA
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Mtoto wa mwaka mmoja afungiwa ndani kwa miezi sita huku akiteswa na kula magodoro Dar
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura.
Katika kile kinachoelezwa kitendo cha kikatili, dhidi ya watoto kushamiri, Mtoto wa mwaka mmoja na miezi sita (jina limehifadhiwa ),anadaiwa kuteswa na mama yake mzazi kwa kipindi cha miezi kumi akiwa amefungiwa ndani huku akila magodoro baada ya kubainika na majirani.
Kwa mujibu wa taarifa ya Neema Brian wa mtandao wa http://sautiyamnyonge.com alibainisha kuwa, Mtoto huyo ambaye amelazwa katika hospitali ya Mwananyamala, ambaye...
11 years ago
Michuzi30 Apr
NEWS ALERT: MTU MMOJA AJINYONGA KWA RAFIKI YAKE KWA KUTUMIA KANGA
KIJANA Victor Wilfred (29) mkazi wa Keko jijini Dar es Salaam amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia kanga aliyoifunga kwenye dirisha la chumba cha rafiki yake.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Ulrich Matei alisema kuwa marehemu alifika kwa rafiki yake hapa Kibaha kwa lengo la kutafutiwa kazi.
Kamanda Matei amesema kuwa tukio hilo lilitokea leo Aprili 30 mwaka huu majira ya saa 5...
10 years ago
Habarileo01 Aug
Basata yamtupa ‘jela’ Shilole mwaka mmoja
BARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) limemfungia mwanamuziki Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kujihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa mwaka mmoja ndani ya nchi na nje.
11 years ago
Michuzi23 Jun
NEWS ALERT:AJALI YAUA MTU MMOJA IRINGA
Taarifa za awali zinaonesha kwamba dereva wa gari hilo jina lake bado halijapatikana ...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FAesQelgR30/Vbr2qhQ-l0I/AAAAAAABS84/C8jo4BBt354/s72-c/shilole%2B2.jpg)
BASATA YAMFUNGIA SHILOLE MWAKA MMOJA KUTOJIHUSISHA NA MUZIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-FAesQelgR30/Vbr2qhQ-l0I/AAAAAAABS84/C8jo4BBt354/s640/shilole%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-05_vBiZGNeA/Vbr1sbCp83I/AAAAAAABS8o/nW0VN3xAzXw/s1600/shilole%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6hF4R7SrojM/Vbr1pPZ4iBI/AAAAAAABS8g/aqgjgusjkwk/s1600/shilole.jpg)
11 years ago
Michuzi17 Feb
NEWS ALERT: Mmoja apoteza maisha kufuatia ajali ya gari huko Lindi
Abiria aliyepoteza maisha katika ajali hiyo anaitwa Amina Omari Makodora (48) mkazi wa kijiji cha Kilindoni,wilaya ya Mafia,mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa abiria wengine walionusulika kwenye ajali hiyo,wameiambia Globu ya Jamii kuwa ajali hiyo...
11 years ago
Michuzi13 Feb
News alert: mtu mmoja adakwa na vipande 21 vya meno ya tembo mkoani singida leo