Shilole afungiwa na Basata kwa mwaka mmoja kufanya sanaa
Staa wa Bongo movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ Zuwena Mohammed ‘Shilole’ akiwa na mpenzi wake Nuh Mziwanda.Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limemfungia Shilole kutojihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa muda wa mwaka mmoja.
Barua kutoka BASATA inasema hivi“Tarehe 9 May 2015 ukiwa katika onyesho lako la muziki Ubelgiji ulicheza uchi mbele ya hadhira ya wapenda sanaa za Tanzania hivyo kudhalilisha utu wako na jamii ya kitanzania kimaadili‘
‘BASATA ilipata habari zako, kumbuka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Wjj6s503Kv8/Vbs_e0WPR8I/AAAAAAAHs7I/KZ6V_7OEdOM/s72-c/Untitled%252C.png)
NEWS ALERT: SHILOLE AFUNGIWA KUJISHUGHULISHA NA KAZI ZA SANAA KWA MUDA WA MWAKA MMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Wjj6s503Kv8/Vbs_e0WPR8I/AAAAAAAHs7I/KZ6V_7OEdOM/s640/Untitled%252C.png)
Itakumbukwa kuwa mnamo tarehe 09/05/2015 akiwa katika onyesho lake la Muziki nchini Ubelgiji alikiuka maadili ya kazi ya sanaa mbele ya hadhira ya wapenda sanaa za Tanzania na hivyo akadhalilisha utu wake na jamii ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BASATA YAMFUNGIA SHILOLE MWAKA MMOJA KUJIUSHISHA NA KAZI ZA SANAA
10 years ago
Habarileo01 Aug
Basata yamtupa ‘jela’ Shilole mwaka mmoja
BARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) limemfungia mwanamuziki Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kujihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa mwaka mmoja ndani ya nchi na nje.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FAesQelgR30/Vbr2qhQ-l0I/AAAAAAABS84/C8jo4BBt354/s72-c/shilole%2B2.jpg)
BASATA YAMFUNGIA SHILOLE MWAKA MMOJA KUTOJIHUSISHA NA MUZIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-FAesQelgR30/Vbr2qhQ-l0I/AAAAAAABS84/C8jo4BBt354/s640/shilole%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-05_vBiZGNeA/Vbr1sbCp83I/AAAAAAABS8o/nW0VN3xAzXw/s1600/shilole%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6hF4R7SrojM/Vbr1pPZ4iBI/AAAAAAABS8g/aqgjgusjkwk/s1600/shilole.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Mtoto wa mwaka mmoja afungiwa ndani kwa miezi sita huku akiteswa na kula magodoro Dar
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura.
Katika kile kinachoelezwa kitendo cha kikatili, dhidi ya watoto kushamiri, Mtoto wa mwaka mmoja na miezi sita (jina limehifadhiwa ),anadaiwa kuteswa na mama yake mzazi kwa kipindi cha miezi kumi akiwa amefungiwa ndani huku akila magodoro baada ya kubainika na majirani.
Kwa mujibu wa taarifa ya Neema Brian wa mtandao wa http://sautiyamnyonge.com alibainisha kuwa, Mtoto huyo ambaye amelazwa katika hospitali ya Mwananyamala, ambaye...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/TUp3iuV6Edg/default.jpg)
Shilole Akiongelea ni kuhusu Baraza la sanaa Tanzania [BASATA] kumfungia...
![](http://i1.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2015/07/127_shilole3.jpg?resize=573%2C416)
Shilole amelalamikia uwamuzi wa BASATA kumfungia kufnya muziki na shughuli za kisanii kwa muda wa mwaka mmoja, Hii video Exclusive kutoka FahamuTv na Sammisago.com, Audio ya Sauti kutoka BASATA Inasikia pia.
10 years ago
Bongo Movies31 Jul
BASATA Watoa Maelezo ya Kwanini Limemfungia Shilole Kutojihusisha na Sanaa
Baraza la Sanaa la taifa, BASATA, limemfungia Shilole kutojihusisha na masuala ya muziki ndani na nje ya Tanzania kwa mwaka mmoja.
BASATA limempa barua Shilole jana yenye taarifa za kufungiwa kwake.
Adhabu hiyo imetolewa kufuatia tukio la msanii huyo kupigwa picha za aibu wakati akitumbuiza nchini Ubelgiji miezi kadhaa iliyopita.
Hii ni taarifa rasmi ya BASATA:
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kama msimamizi na mratibu wa sekta ya Sanaa nchini limemfungia msanii wa Muziki wa Kizazi...
10 years ago
GPLBASATA KUENDESHA MAFUNZO YA SANAA KWA WATOTO