news alert: watano wapanda kizimbani kwa mashtaka ya usambazaji wa Dawa feki za kurefusha maisha kwa waathirika wa Ukimwi
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam pia ni Mkurugenzi Mkuu Kiwanda cha Kutengeza Dawa (TPI Ltd) Ramadhani Madabida na wenzake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na mashitaka matano ya usambazaji wa Dawa feki za kurefusha maisha kwa waathirika wa Ukimwi na kuisababishia Bohari Kuu ya Dawa (MSD)hasara ya zaidi ya Sh.milioni 148.3. Mbali na Madabida washtakiwa wengine ni, Meneja Uendeshaji Seif Shamte, aliyekuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox5LjwxS1NwTKf*7kHIonWJl0OzNp1JjDF9nqBV1KGb6Hk-a2g9OsBl4*pPtnHWhiSMDYsoe-D0wTk*maV0UMvU9/ARVs.jpg?width=650)
ARV’S; DAWA ZA KUREFUSHA MAISHA YA WAATHIRIKA WA UKIMWI
11 years ago
Michuzi17 Jun
NEWS ALERT: SHEKHE WA MKOA WA TABORA NA WAUMINI WATANO WAPANDISHWA KIZIMBANI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k9tNhOuNGs0/VTdLuarrReI/AAAAAAAHSc4/0OcVIZhiN4Y/s72-c/6621067.png)
NEWS ALERT: KAFULILA APANDISHWA KIZIMBANI KWA KUMTUKANA MKUU WA WILAYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-k9tNhOuNGs0/VTdLuarrReI/AAAAAAAHSc4/0OcVIZhiN4Y/s1600/6621067.png)
MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kusini Mhe. David Kafulila amepandishwa kizimbani katika mahakama ya Wilaya ya Kigoma kujibu shitaka la kutumia lugha ya matumisi dhidi ya Mkuu wa Wilaya Uvinza Khadija Nyembo.
Kafulila alifikishwa mahakamani hapo majira ya saa mbili asubuhi akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Mbele ya Hakimu David Ngunyale,Wakili wa Serekali Marysinta Lazaro alidai kuwa Kafulila alitenda kosa hilo tarehe 1 mwezi wa 8 mwaka 2013 katika kata...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KdePnNdzi0U/U6BHSjOjmiI/AAAAAAAFrP0/_2leZsTzu6U/s72-c/1911114_507199476058710_1063991907_o.jpg)
NEWS ALERT: MUME WA FROLA MBASHA APANDISHWA KIZIMBANI kWA KESI YA UBAKAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-KdePnNdzi0U/U6BHSjOjmiI/AAAAAAAFrP0/_2leZsTzu6U/s1600/1911114_507199476058710_1063991907_o.jpg)
11 years ago
Michuzi07 Feb
News alert: watu 12 raia wa iran na pakistani kizimbani kwa kukutwa na 'sembe' kilo 200.5 bahari kuu
11 years ago
GPLWAKULIMA WATESWA NA USAMBAZAJI DAWA FEKI ZA KILIMO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x8SaRgsnhvc/U2aUk5R97mI/AAAAAAAFfkA/3RE1OxKVirQ/s72-c/Bus-bombing-in-Nairobi-le-011.jpg)
News alert: watatu wapoteza maisha zaidi ya 60 wajeruhiwa kwa mabomu kwenye mabasi ya abiria nairobi leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-x8SaRgsnhvc/U2aUk5R97mI/AAAAAAAFfkA/3RE1OxKVirQ/s1600/Bus-bombing-in-Nairobi-le-011.jpg)
Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi la Kenya Bw. Moses Ombati amenukuliwa akisema kuwa mabomu hayo yamelipuka kwenye mabasi ya abiria mawili tofauti, ambapo Naibu Mkuu wa kitengo cha kutengua Mabomu, Bw, Eliud Lagat amesema milipuko hiyo imetokana na mabomu...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Madabida kizimbani kwa ARVs ‘feki’
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), Dk. Eliezer Feleshi, amemfikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2EJzxqIHIw/VUJJ3fXBTSI/AAAAAAAHUXI/Mw2WowbpzMA/s72-c/01.jpeg)
WARSHA YA MFUMO MPYA WA USAMBAZAJI DAWA ZANZIBAR (eLMIS) KWA WAKURUGENZI NA MAAFISA WA WIZARA YA AFYA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2EJzxqIHIw/VUJJ3fXBTSI/AAAAAAAHUXI/Mw2WowbpzMA/s1600/01.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YnaZ9ZIZmjc/VUJJvSYcnzI/AAAAAAAHUW4/U9TVnnfw-FY/s1600/02.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nQ7TqecStzw/VUJJ2DI_46I/AAAAAAAHUXA/gJmgcdCqmVQ/s1600/03.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GOkTIUjI3Po/VUJJ7HcD_ZI/AAAAAAAHUXQ/ay-rg7fWyOc/s1600/04.jpeg)