News alert: watatu wapoteza maisha zaidi ya 60 wajeruhiwa kwa mabomu kwenye mabasi ya abiria nairobi leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-x8SaRgsnhvc/U2aUk5R97mI/AAAAAAAFfkA/3RE1OxKVirQ/s72-c/Bus-bombing-in-Nairobi-le-011.jpg)
Watu watatu wamepoteza maisha na wengine 62 kujeruhiwa baada ya mabomu mawili kulipuka Jumapili ya leo katika barabara ya Thika, ambayo ni moja ya njia kuu zenye magari mengi jijini Nairobi, Kenya.Majeruhi 20 kati ya hao wako mahututi.
Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi la Kenya Bw. Moses Ombati amenukuliwa akisema kuwa mabomu hayo yamelipuka kwenye mabasi ya abiria mawili tofauti, ambapo Naibu Mkuu wa kitengo cha kutengua Mabomu, Bw, Eliud Lagat amesema milipuko hiyo imetokana na mabomu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)
11 years ago
Michuzi23 Apr
NEWS ALERT: ZAIDI ya abiria 40 Wajeruhiwa ajalini mkoano Kilimanjaro jioni ya leo
Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la tukio,inaeleza kwamba ajali hiyo ilitokea majira ya saa 10 jioni jirani kabisa na kituo cha mafuta kilichopo kando ya barabara ya Moshi-Arusha wakati magari hayo yakijiandaa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 40 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MAFINGA, IRINGA, RAIS KIKWETE AOMBOLEZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f4SVo-xPn9g/VQBkO7mZt4I/AAAAAAAHJow/NYFiULZVIqQ/s1600/unnamed%2B(90).jpg)
Picha na mdau Baraka wa Chibiriti
Watu zaidi ya 30 wanasadikiwa kupoteza na maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya sana katika ajali mbaya iliyotokea mapema leo asubuhi,maeneo ya Changarawe,Mafinga Mkoani Iringa,iliyohusisha Lori la Mizigo na Basi la abiria la Kampuni ya Majinja lililokuwa likitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar es salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vLCoyq7-Qpo/XvSbcrbtcZI/AAAAAAALvYg/S_WP5175-V46U3DQhgxUKrSkSR5IET9TgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200625-WA0026.jpg)
WATU WATATU WAPOTEZA MAISHA KARATU, 25 WAJERUHIWA
Na.Vero Ignatus
Wito umetolewa kwa medereva kuwa makini na kuchukua tahadhari ya usalama barabarani pindi wanapotumia vyombo vya moto ili kuepusha madhara makubwa ambayo yanaweza kutokea,kwani jeshi la polisi litaendelea kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote ambao wataenda kinyume na taratibu za usalama barabarani
Akitoa taarifa ya ajali kwa waandishi wa habari Kaimu kamanda mkoa wa Arusha ACP.Ramadhani Kingai alisema ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa 16:30hrs ,huko maeneo ya...
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WASHABIKI WA TIMU YA SIMBA WAPATA AJALI MKOANI MOROGORO LEO, NANE WAPOTEZA MAISHA
Hili ni pigo kubwa sana kwa Timu ya Simba, tutaendelea kupeana taarifa kadri zitakavyokuwa zikitufikia.
Globu ya Jamii inatoa pole wa Klabu ya Wekundu wa Msimbazi kuwa kuondokewa na washabiki wake hao, na Mungu aziweke Roho za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WANNE WAPOTEZA MAISHA KWENYE MLIPUKO NAIROBI
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Ajali ya Hiace huko Tukuyu Mbeya: Abiria zaidi ya 20 wapoteza maisha, Utingo pekee anusurika
Baadhi ya miili ya walipoteza maisha kwenye ajali ya gari aina ya Hiace iliyopinduka Mtoni, ikiwa imefunikwa baada ya kuopolewa na wasamaria wema huko, eneo la Uwanja wa Ndege, Kiwira Kyela.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
“Tuamke na Mungu, tutembee na Mungu. Hivi ndivyo tunavyoweza kusema kwa sasa kufuatia hali ya ajali za mara kwa mara zinazotokea ndani ya nchi yetu”.
Asubuhi ya leo huko Tukuyu Mkoani Mbeya imeripotiwa ajali mbaya ya Hiace iliyoua takribani watu zaidi ya 20, eneo la...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3SQhmbAYeew/VWHoUA4ZSwI/AAAAAAAHZiI/MXNk5TR5zXQ/s72-c/unnamed26.jpg)
watatu wapoteza maisha katika ajali ya basi mkoani mbeya leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-3SQhmbAYeew/VWHoUA4ZSwI/AAAAAAAHZiI/MXNk5TR5zXQ/s640/unnamed26.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eIRk9In8txY/VIFjFJSkq3I/AAAAAAAG1W8/QVNKDacK3bA/s72-c/10671229_947072891986888_1214725897795206556_n.jpg)
NEWS ALERT: ZAIDI YA ABIRIA 50 WANUSURIKA KIFO AJALI YA BASI
![](http://1.bp.blogspot.com/-eIRk9In8txY/VIFjFJSkq3I/AAAAAAAG1W8/QVNKDacK3bA/s1600/10671229_947072891986888_1214725897795206556_n.jpg)