Ajali ya Hiace huko Tukuyu Mbeya: Abiria zaidi ya 20 wapoteza maisha, Utingo pekee anusurika
Baadhi ya miili ya walipoteza maisha kwenye ajali ya gari aina ya Hiace iliyopinduka Mtoni, ikiwa imefunikwa baada ya kuopolewa na wasamaria wema huko, eneo la Uwanja wa Ndege, Kiwira Kyela.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
“Tuamke na Mungu, tutembee na Mungu. Hivi ndivyo tunavyoweza kusema kwa sasa kufuatia hali ya ajali za mara kwa mara zinazotokea ndani ya nchi yetu”.
Asubuhi ya leo huko Tukuyu Mkoani Mbeya imeripotiwa ajali mbaya ya Hiace iliyoua takribani watu zaidi ya 20, eneo la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-KSo0_PiaVoM/VREwm99uVhI/AAAAAAAADB0/QklnVjd0yMc/s72-c/1.jpg)
PICHA ZINATISHA,AJALI ILIYOTOKEA USIKU WAKUAMKIA LEO HUKO NZEGA WATU 6 WAPOTEZA MAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-KSo0_PiaVoM/VREwm99uVhI/AAAAAAAADB0/QklnVjd0yMc/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z4XIevg0DAQ/VREwqWn0PZI/AAAAAAAADCU/vHgdGOF6Lms/s640/8.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x8SaRgsnhvc/U2aUk5R97mI/AAAAAAAFfkA/3RE1OxKVirQ/s72-c/Bus-bombing-in-Nairobi-le-011.jpg)
News alert: watatu wapoteza maisha zaidi ya 60 wajeruhiwa kwa mabomu kwenye mabasi ya abiria nairobi leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-x8SaRgsnhvc/U2aUk5R97mI/AAAAAAAFfkA/3RE1OxKVirQ/s1600/Bus-bombing-in-Nairobi-le-011.jpg)
Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi la Kenya Bw. Moses Ombati amenukuliwa akisema kuwa mabomu hayo yamelipuka kwenye mabasi ya abiria mawili tofauti, ambapo Naibu Mkuu wa kitengo cha kutengua Mabomu, Bw, Eliud Lagat amesema milipuko hiyo imetokana na mabomu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3SQhmbAYeew/VWHoUA4ZSwI/AAAAAAAHZiI/MXNk5TR5zXQ/s72-c/unnamed26.jpg)
watatu wapoteza maisha katika ajali ya basi mkoani mbeya leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-3SQhmbAYeew/VWHoUA4ZSwI/AAAAAAAHZiI/MXNk5TR5zXQ/s640/unnamed26.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s72-c/IMG-20150311-WA0005.jpg)
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 40 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MAFINGA, IRINGA, RAIS KIKWETE AOMBOLEZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kf8jvkiJLLI/VQAPiAQ-RzI/AAAAAAAHJhc/E29CU9kdMvo/s1600/IMG-20150311-WA0005.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f4SVo-xPn9g/VQBkO7mZt4I/AAAAAAAHJow/NYFiULZVIqQ/s1600/unnamed%2B(90).jpg)
Picha na mdau Baraka wa Chibiriti
Watu zaidi ya 30 wanasadikiwa kupoteza na maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya sana katika ajali mbaya iliyotokea mapema leo asubuhi,maeneo ya Changarawe,Mafinga Mkoani Iringa,iliyohusisha Lori la Mizigo na Basi la abiria la Kampuni ya Majinja lililokuwa likitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar es salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-YrffIUaPznU/VQAV5NhjcvI/AAAAAAAHJhs/Z2y_CB55Yq4/s1600/IMG-20150311-WA0002.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a048EoHiuh8/U6WEY01pEUI/AAAAAAAFsFY/_q3hHo6QSaE/s72-c/IMG-20140621-WA0003.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ....: WATU ZAIDI YA 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOTOKEA ENEO LA MAKONGO,JIJINI DAR MCHANA HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-a048EoHiuh8/U6WEY01pEUI/AAAAAAAFsFY/_q3hHo6QSaE/s1600/IMG-20140621-WA0003.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lSLBy6XN-xw/U6WEZ0hXeMI/AAAAAAAFsFg/WDq6Nq5ofzo/s1600/IMG-20140621-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2mL638TC79I/U6WEbG-kYdI/AAAAAAAFsFo/_rI2H-fO7Gs/s1600/IMG-20140621-WA0004.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FJ8ymDuXbeQ/U7wM_LZ0fTI/AAAAAAAFyes/Jc-JAn0CrzY/s72-c/f8314b9fbf_Taifa-Stars.jpg)
TAIFA STARS YAINGIA KAMBINI HUKO TUKUYU,JIJINI MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FJ8ymDuXbeQ/U7wM_LZ0fTI/AAAAAAAFyes/Jc-JAn0CrzY/s1600/f8314b9fbf_Taifa-Stars.jpg)
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo (Julai 8 mwaka huu) kuhusu maandalizi ya timu hiyo, Nooij amesema timu yake inafanya mazoezi kwenye maeneo ya baridi kwa sababu za kitaalamu, hivyo kambi ya Tukuyu kama ilivyokuwa ya Botswana itawasaidia kwa mechi dhidi ya Msumbiji.
Taifa Stars...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bgWZynVz*oVl3P0yRcPXcGYMQwdFZSLV-nApwwalP2qKpo9FhVo*1JMyAkbUpMZqDkVKuyWBK5WKlsd53H6zSlo0RTYlkIwW/IMG20150417WA0004copy.jpg?width=650)
AJALI IMETOKEA JIJINI MBEYA, ZAIDI YA WATU 20 WAMEDAIWA KUPOTEZA MAISHA
Baadhi ya wakazi wa jirani na eneola tukio wakitazama gari lilivyopata ajali kando kando ya mto Kiwira.
Wananchi wa Kiwira wakienda kuangalia ajali hiyo.
Wananchi wa Kiwira wakiangalia baadhi ya Miili ya Watu waliopoteza maisha kwenye ajali hiyo. Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii hivi punde toka Wilayani Rungwe,…
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-UpPs7l57WdY/VTDQ37a5W1I/AAAAAAABLyQ/kDkk32ZRcAs/s72-c/11138171_371867679670728_587693700954972337_n.jpg)
WATU 19 WAMEFARIKI KATIKA AJALI YA HIACE KIWIRA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-UpPs7l57WdY/VTDQ37a5W1I/AAAAAAABLyQ/kDkk32ZRcAs/s1600/11138171_371867679670728_587693700954972337_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qW1r1L-eYqI/VTDQ4jn_gyI/AAAAAAABLyY/RZYyEssy2xA/s1600/1519627_371868156337347_4125652940150248856_o.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania