Madabida kizimbani kwa ARVs ‘feki’
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), Dk. Eliezer Feleshi, amemfikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Jun
TFDA yatoa ushahidi wa ARVs ‘feki’ mahakamani
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imedai ilikagua na kugundua dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) zilizotengenezwa na Kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd (TPL) kinachomilikiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida ni bandia.
11 years ago
Michuzi10 Feb
news alert: watano wapanda kizimbani kwa mashtaka ya usambazaji wa Dawa feki za kurefusha maisha kwa waathirika wa Ukimwi
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Mwenyekiti wa CCM Dar kizimbani kwa tuhuma za kusambaza ARV feki
10 years ago
Habarileo18 Nov
ARVs zadoda, wagonjwa walienda kwa 'Babu'
BUNGE jana lilipitisha Azimio la kufuta na kusamehe madai au hasara itokanayo na upotevu wa fedha na vifaa vya Serikali inayofikia Sh bilioni 10. Azimio hilo ambalo liliwasilishwa bungeni wiki iliyopita, lilipitishwa jana baada ya Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba na Waziri wake, Saada Mkuya Salum kujibu baadhi ya hoja za wabunge.
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Ripoti: Bidhaa feki faida kwa Serikali hasara kwa wananchi
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Kesi ya Madabida yaanza kuunguruma
NA MWANDISHI WETU
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa kuwa Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), ilikagua na kugundua dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) zilizotengenezwa na Kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd (TPL), kinachomilikiwa na Ramadhani Madabida kuwa ni bandia.
Hayo yalidaiwa jana na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Osward Tibabyekomya, mbele ya Hakimu Mkazi, Nyigulila Mwaseba, wakati akiwasomea maelezo ya awali Madabida na wenzake.
Madabida, ambaye ni Ofisa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Upelelezi kesi ya Madabida wakamilika
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kusambaza dawa za kupunguza makali ya ukimwi (ARVs) inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na wenzake...
11 years ago
IPPmedia11 Feb
Madabida, five others in court over fake drugs
IPPmedia
IPPmedia
Tanzania Pharmaceutical Industries Ltd CEO Ramadhan Madabida (L) and others seated at Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday. The Chief Executive Officer for Pharmaceutical Industries Limited Ramadhani Madabida and five ...
Five in court over fake ARVsDaily News
all 2
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Madabida: Hatutoi mafunzo kujipendekeza
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, amesema kitendo cha kutoa mafunzo kwa viongozi mbalimbali wa chama hicho sio kujipendekeza bali ni utekelezaji wa...