Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi ya Madabida yaanza kuunguruma


NA MWANDISHI WETU
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa kuwa Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), ilikagua na kugundua dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) zilizotengenezwa na Kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd (TPL), kinachomilikiwa na Ramadhani Madabida kuwa ni bandia.
Hayo yalidaiwa jana na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Osward Tibabyekomya, mbele ya Hakimu Mkazi, Nyigulila Mwaseba, wakati akiwasomea maelezo ya awali Madabida na wenzake.
Madabida, ambaye ni Ofisa...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Upelelezi kesi ya Madabida wakamilika

UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kusambaza dawa za kupunguza makali ya ukimwi (ARVs) inayomkabili  Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na wenzake...

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Madabida, wenzake kutajwa leo

KESI ya kusambaza dawa bandia za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) inayomkabili Ofisa Mtendaji Mkuu wa kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, inatajwa leo. Kesi hiyo inatajwa mbele ya Hakimu Mkazi, Nyigulila Mwaseba wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ili kuangalia kama upelelezi umekamilika au la!.

 

10 years ago

Dewji Blog

THE MBONI SHOW yaanza kuunguruma January 2 ndani ya TBC

IMG_6576

 

Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba (wa pili ktoka kulia) akizungumza na waandishi wa habari jana katika  ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam wakati akitangaza kuanza kwa msimu wa tatu wa kipindi chake ‘The Mboni Show’ kinachotarajia kuanza Jan 2, 2015. Kushoto ni kiti Simpompa na kuanzia kulia ni Afisa Masoko wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (PSPF) Magira Werema na Kaimu Mkurugenzi wa Masoko TBC,Bw.Fadhili Chilumba.

Kutoka Kulia Afisa Masoko wa Mfuko wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya Katiba kuanza kuunguruma leo

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo itaanza kusikiliza kesi ya msingi ya kikatiba ya Bunge Maalumu la Katiba. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Mahakama hiyo kutupilia mbali pingamizi...

 

10 years ago

Michuzi

KESI YA MDEE KUANZA KUUNGURUMA NOVEMBA 16, MWAKA HUU

Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Dar es Salaam
Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imepanga kusikiliza maelezo ya awali dhidi ya  Mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake wanane wa Chama Cha Demekrasia na Maendeleo wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri halali ya Jeshi la Polisi na kufanya mkusanyiko isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu.
 Kesi hiyo ilitajwa leo na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda.Mbali na Mdee, washtakiwa wengine ni, Rose Moshi (45), Renina...

 

5 years ago

Michuzi

Kesi ya waliomuua Dk. Mvungi kuanza kuunguruma mahakama Kuu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa mashahidi 33 wanatarajiwa kuwepo katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi inayowakabili washtakiwa sita pamoja na na vielelezo 18 .
Washtakiwa katika kesi hiyo ambao leo Mei 11,  2020 wamesomewa maelezo ya mashahidi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi baada ya upelelezi kukamilika ni Msigwa Matonya, Mianda Mlewa, Paulo Mdonondo, Juma Kangungu, Longishu Losingo na John Mayunga.
Akisoma...

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya kufukua maiti yaanza

 Ushahidi wa pande zote mbili katika kesi ya kufukuliwa maiti ya marehemu Steven Lawrence Assey, juzi ulianza kutolewa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Habre yaanza leo

Kesi inayomkabili aliyekuwa rais wa Chad, Hissène Habré dhidi ya uhalifu wa binadamu, kivita na mateso, inaanza kusikilizwa leo

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Rita Jeptoo yaanza kusikilizwa

Kesi ya matumizi ya dawa za kuongeza nguvu ya bingwa mara tatu wa Boston Marathon Rita Jeptoo wa Kenya imeanza leo hii mjini Nairobi lakini chama cha riadha kimesema hakitatangaza hukumu ya Jeptoo hadi wiki ijayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani