KESI YA MDEE KUANZA KUUNGURUMA NOVEMBA 16, MWAKA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-MXL2tL2x4cY/VFoouXXouUI/AAAAAAAGvpc/8In3BzzMu60/s72-c/DSC09425_thumb2.jpg)
Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Dar es Salaam
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imepanga kusikiliza maelezo ya awali dhidi ya Mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake wanane wa Chama Cha Demekrasia na Maendeleo wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri halali ya Jeshi la Polisi na kufanya mkusanyiko isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu.
Kesi hiyo ilitajwa leo na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda.Mbali na Mdee, washtakiwa wengine ni, Rose Moshi (45), Renina...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Kesi ya Macha Novemba 18 mwaka huu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu juzi ilishindwa kutoa uamuzi kama inayomkabili mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Macha kama ana kesi ya kujibu ama la. Hali hiyo ilitokana na Hakimu...
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kamati ya Bunge ya Bajeti kuanza vikao vyake Oktoba 13 hadi Novemba 2 mwaka huu jijini Dar
Kamati Oct 2014.doc by moblog
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Kesi ya Katiba kuanza kuunguruma leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo itaanza kusikiliza kesi ya msingi ya kikatiba ya Bunge Maalumu la Katiba. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Mahakama hiyo kutupilia mbali pingamizi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-98VRy31N9yY/Xrle7snYZ2I/AAAAAAALpz0/5EH_Xt7FbSMAWAHDlU2cv9yZ7VBi6pqmwCLcBGAsYHQ/s72-c/mahakama%2BBlack.jpg)
Kesi ya waliomuua Dk. Mvungi kuanza kuunguruma mahakama Kuu
![](https://1.bp.blogspot.com/-98VRy31N9yY/Xrle7snYZ2I/AAAAAAALpz0/5EH_Xt7FbSMAWAHDlU2cv9yZ7VBi6pqmwCLcBGAsYHQ/s640/mahakama%2BBlack.jpg)
Washtakiwa katika kesi hiyo ambao leo Mei 11, 2020 wamesomewa maelezo ya mashahidi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi baada ya upelelezi kukamilika ni Msigwa Matonya, Mianda Mlewa, Paulo Mdonondo, Juma Kangungu, Longishu Losingo na John Mayunga.
Akisoma...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/PISTORIOUS-3.jpg)
RUFAA YA PISTORIUS KUSIKILIZWA NOVEMBA 3 MWAKA HUU
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
ACT kufanya mkutano mkuu Novemba 20 mwaka huu
CHAMA Cha Alliance for Change and Transparance, (ACT-Tanzania), kinatarajia kufanya mkutano mkuu maalum wa Taifa wa chama hicho Novemba 20 mwaka huu. Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa muda...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V0Y5xmeOBFY/VjJbWWDA46I/AAAAAAAIDZI/2kP7IrmE-JE/s72-c/download.jpg)
STARS KUCHEZA MCHEZO WA MARUDIANO NOVEMBA 17 MWAKA HUU ALGERIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-V0Y5xmeOBFY/VjJbWWDA46I/AAAAAAAIDZI/2kP7IrmE-JE/s1600/download.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-itvoSU-OT4E/Vh5kZCkpMSI/AAAAAAABXTc/OUUgcg6EE7o/s72-c/ADDD.png)
MECHI KATI YA TANZANIA NA ALGERIA KUCHEZWA NOVEMBA 14 MWAKA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-itvoSU-OT4E/Vh5kZCkpMSI/AAAAAAABXTc/OUUgcg6EE7o/s640/ADDD.png)
Taifa Stars inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager itacheza mchezo huo dhidi ya Mbweha wa Jangwani siku ya Jumamosi Novemba 14, na mchezo wa marudiano kuchezwa siku tatu baadae Algeria 17 Novemba, 2015.
Kikosi cha Stars chini ya...
10 years ago
Michuzi07 Nov
SHINDANO LA MODEL OF TOURISM KUFANYKA NOVEMBA 22 MWAKA HUU JIJINI ARUSHA
![SAM_1076](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/SdnN5edCvFCNGoCQD9M_62gv0sLwVaodgtJPOw1eljpl95l2ldQjrdTFO_CPcxsjvUJ8Vg_R1WicjnK1JAnrTp8M8c4ORL4-x1W0Fx117z7d3I0=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/11/sam_1076.jpg)