MECHI KATI YA TANZANIA NA ALGERIA KUCHEZWA NOVEMBA 14 MWAKA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-itvoSU-OT4E/Vh5kZCkpMSI/AAAAAAABXTc/OUUgcg6EE7o/s72-c/ADDD.png)
Mchezo wa hatua ya pili kuwania kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwaka 2018 nchini Urusi kati ya Tanzania (Taifa Stars) dhidi ya Algeria (The Fox Desert) utafanyika tarehe 14 Novemba, 2015 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Taifa Stars inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager itacheza mchezo huo dhidi ya Mbweha wa Jangwani siku ya Jumamosi Novemba 14, na mchezo wa marudiano kuchezwa siku tatu baadae Algeria 17 Novemba, 2015.
Kikosi cha Stars chini ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V0Y5xmeOBFY/VjJbWWDA46I/AAAAAAAIDZI/2kP7IrmE-JE/s72-c/download.jpg)
STARS KUCHEZA MCHEZO WA MARUDIANO NOVEMBA 17 MWAKA HUU ALGERIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-V0Y5xmeOBFY/VjJbWWDA46I/AAAAAAAIDZI/2kP7IrmE-JE/s1600/download.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Kesi ya Macha Novemba 18 mwaka huu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu juzi ilishindwa kutoa uamuzi kama inayomkabili mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Macha kama ana kesi ya kujibu ama la. Hali hiyo ilitokana na Hakimu...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/PISTORIOUS-3.jpg)
RUFAA YA PISTORIUS KUSIKILIZWA NOVEMBA 3 MWAKA HUU
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MXL2tL2x4cY/VFoouXXouUI/AAAAAAAGvpc/8In3BzzMu60/s72-c/DSC09425_thumb2.jpg)
KESI YA MDEE KUANZA KUUNGURUMA NOVEMBA 16, MWAKA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-MXL2tL2x4cY/VFoouXXouUI/AAAAAAAGvpc/8In3BzzMu60/s1600/DSC09425_thumb2.jpg)
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imepanga kusikiliza maelezo ya awali dhidi ya Mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake wanane wa Chama Cha Demekrasia na Maendeleo wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri halali ya Jeshi la Polisi na kufanya mkusanyiko isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu.
Kesi hiyo ilitajwa leo na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda.Mbali na Mdee, washtakiwa wengine ni, Rose Moshi (45), Renina...
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
ACT kufanya mkutano mkuu Novemba 20 mwaka huu
CHAMA Cha Alliance for Change and Transparance, (ACT-Tanzania), kinatarajia kufanya mkutano mkuu maalum wa Taifa wa chama hicho Novemba 20 mwaka huu. Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa muda...
9 years ago
Michuzi13 Oct
TANZANIA Vs ALGERIA NOVEMBA 14
![](http://tff.or.tz/images/starskamuzu.png)
10 years ago
Michuzi07 Nov
SHINDANO LA MODEL OF TOURISM KUFANYKA NOVEMBA 22 MWAKA HUU JIJINI ARUSHA
![SAM_1076](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/SdnN5edCvFCNGoCQD9M_62gv0sLwVaodgtJPOw1eljpl95l2ldQjrdTFO_CPcxsjvUJ8Vg_R1WicjnK1JAnrTp8M8c4ORL4-x1W0Fx117z7d3I0=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/11/sam_1076.jpg)
9 years ago
MichuziPAPA WEMBA KUTUMBUIZA TAMASHA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL NOVEMBA 6-8 MWAKA HUU
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Nguli wa muziki Papa Wemba kutumbuiza Tamasha la Karibu Music Festival Novemba 6-8 mwaka huu
Ofisa Mauzo wa Karibu Cultural Promotions Organization (KCPO), Ernest Biseko katikati ambao ni waratibu wa Tamasha la Karibu Music Festival akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam. kushoto ni ni msanii, Jhikolabwino Manyika – Jhikoman na Meneja Uvumbuzi wa kinywaji cha Jebel cha Kampuni ya SBL, Attu Mynah
MWANAMUZIKI nguli wa dansi kutoka nchini Congo DR, Papa Wemba ni miongoni mwa wasanii wanaotarajia kutumbuiza katika tamasha kubwa la Kimataifa la Muziki la ‘Karibu...