Kesi ya Katiba kuanza kuunguruma leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo itaanza kusikiliza kesi ya msingi ya kikatiba ya Bunge Maalumu la Katiba. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Mahakama hiyo kutupilia mbali pingamizi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MXL2tL2x4cY/VFoouXXouUI/AAAAAAAGvpc/8In3BzzMu60/s72-c/DSC09425_thumb2.jpg)
KESI YA MDEE KUANZA KUUNGURUMA NOVEMBA 16, MWAKA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-MXL2tL2x4cY/VFoouXXouUI/AAAAAAAGvpc/8In3BzzMu60/s1600/DSC09425_thumb2.jpg)
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imepanga kusikiliza maelezo ya awali dhidi ya Mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake wanane wa Chama Cha Demekrasia na Maendeleo wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri halali ya Jeshi la Polisi na kufanya mkusanyiko isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu.
Kesi hiyo ilitajwa leo na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda.Mbali na Mdee, washtakiwa wengine ni, Rose Moshi (45), Renina...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-98VRy31N9yY/Xrle7snYZ2I/AAAAAAALpz0/5EH_Xt7FbSMAWAHDlU2cv9yZ7VBi6pqmwCLcBGAsYHQ/s72-c/mahakama%2BBlack.jpg)
Kesi ya waliomuua Dk. Mvungi kuanza kuunguruma mahakama Kuu
![](https://1.bp.blogspot.com/-98VRy31N9yY/Xrle7snYZ2I/AAAAAAALpz0/5EH_Xt7FbSMAWAHDlU2cv9yZ7VBi6pqmwCLcBGAsYHQ/s640/mahakama%2BBlack.jpg)
Washtakiwa katika kesi hiyo ambao leo Mei 11, 2020 wamesomewa maelezo ya mashahidi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi baada ya upelelezi kukamilika ni Msigwa Matonya, Mianda Mlewa, Paulo Mdonondo, Juma Kangungu, Longishu Losingo na John Mayunga.
Akisoma...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NBpoYbxtzVo/Uyr4c8JJqMI/AAAAAAACdC4/3w0MmHgfMco/s72-c/unnamed.jpg)
JK KUUNGURUMA LEO JIONI KWENYE BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA .
![](http://3.bp.blogspot.com/-NBpoYbxtzVo/Uyr4c8JJqMI/AAAAAAACdC4/3w0MmHgfMco/s1600/unnamed.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amealikwa kuwa mgeni rasmi na kuhutubia Bunge...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Kesi ya Simba kuanza leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo itaanza kusikiliza kesi iliyofunguliwa na wanachama watatu wa Klabu ya Simba, wakiomba itoe amri ya muda ya kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu...
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Kesi ya mita 200 kuanza leo
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
JOPO la majaji watatu wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo linatarajia kuanza kusikiliza kesi ya kikatiba kuhusu haki ya mpigakura kukaa umbali wa mita 200 kama ni sahihi au la.
Jopo hilo la majaji Seleman Kihiyo, Aliyisius Mujuluzi na Lugano Mwandambo, liliteuliwa baada ya mgombea ubunge wa Viti Maalumu Jimbo la Kilombero kupitia Chadema, Amy Kibatala, kufungua kesi hiyo kupitia kwa wakili Peter Kibatala.
Katika maombi yake, anaomba Mahakama Kuu ya...
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Kesi ya Oscar Pistorius kuanza leo
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Kesi dhidi ya Ntaganda kuanza ICC leo
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Kesi ya bilionea Msuya kuanza kunguruma leo
10 years ago
Habarileo17 Sep
Kesi Bunge Maalum kuanza kusikilizwa leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inaanza kusikiliza kesi ya Kikatiba, iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Saidi Kubenea akihoji mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba, linaloendelea mkoani Dodoma.