Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi ya Simba kuanza leo

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo itaanza kusikiliza kesi iliyofunguliwa na wanachama watatu wa  Klabu ya Simba, wakiomba  itoe amri ya muda ya kuzuia  kufanyika kwa uchaguzi mkuu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Oscar Pistorius kuanza leo

Kesi dhidi ya bingwa wa mashindano ya Olimpiki kwa wanariadha walemavu kutoka Afrika Kusini, Oscar Pestorius, inaanza leo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya Katiba kuanza kuunguruma leo

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo itaanza kusikiliza kesi ya msingi ya kikatiba ya Bunge Maalumu la Katiba. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Mahakama hiyo kutupilia mbali pingamizi...

 

9 years ago

Mtanzania

Kesi ya mita 200 kuanza leo

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

JOPO la majaji watatu wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo linatarajia kuanza kusikiliza kesi ya kikatiba kuhusu haki ya mpigakura kukaa umbali wa mita 200 kama ni sahihi au la.

Jopo hilo la majaji Seleman Kihiyo, Aliyisius Mujuluzi na Lugano Mwandambo, liliteuliwa baada ya mgombea ubunge wa Viti Maalumu Jimbo la Kilombero kupitia Chadema, Amy Kibatala, kufungua kesi hiyo kupitia kwa wakili Peter Kibatala.

Katika maombi yake, anaomba Mahakama Kuu ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya Ntaganda kuanza ICC leo

Kesi dhidi ya aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Congo Bosco Ntaganda kuanza leo katika mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC

 

9 years ago

Mwananchi

Kesi ya bilionea Msuya kuanza kunguruma leo

Tukio la mauaji ya mfanyabiashara tajiri wa Mirerani, Erasto Msuya litawekwa hadharani kuanzia leo wakati mashahidi 50 wa upande wa Jamhuri watakapoanza kutoa ushahidi wao kwa siku tano mfululizo.

 

10 years ago

Habarileo

Kesi Bunge Maalum kuanza kusikilizwa leo

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inaanza kusikiliza kesi ya Kikatiba, iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Saidi Kubenea akihoji mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba, linaloendelea mkoani Dodoma.

 

10 years ago

GPL

Muingereza wa Simba kuanza kazi leo

KOCHA mpya wa Simba, Mwingereza, Dylan Kerr. Hans Mloli,Dar es Salaam
KOCHA mpya wa Simba, Mwingereza, Dylan Kerr ambaye amesaini mkataba wa mwaka mmoja, tayari amemalizana na uongozi wa timu hiyo katika ishu ya malazi baada ya kukabidhiwa mjengo wa kisasa aliokuwa akiutumia kocha wa zamani wa timu hiyo, Msebia, Goran Kopunovic na leo anaanza kazi. Nyumba hiyo ipo Kunduchi Beach, Dar ambapo hapo awali alianza kuitumia kocha...

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC

Na Faustine Ruta, BukobaTimu nane zilizosonga mbele kwenye hatua ya Robo Fainali KAGASHEKI CUP 2014 leo zinaanza kuonyeshana ubabe kati ya Mabingwa Watetezi Bilele Fc na Kahororo Fc kwenye uwanja wa Kaitaba Bukoba mjini. Kwa ajili ya kuwania nafasi nne za kuingia hatua ya nusu fainali ya Ligi ya KAGASHEKI CUP Inayotarajiwa kuanza  wiki ijayo.  Timu ya Bakoba Fc ilipoteza na kutupwa nje kwenye Mashindano baada ya matokeo ya timu ya Kitendaguro kwenda vibaya katika hatua ya Makundi mtanange wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya Ntaganda kuanza Jumatano

Kesi dhidi ya aliyekuwa kiongozi wa waasi DRC, Bonsco Nteganda kuanza kesho katika mahakama ya ICC iliyoko the Haque Jumatano

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani