Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi dhidi ya Ntaganda kuanza ICC leo

Kesi dhidi ya aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Congo Bosco Ntaganda kuanza leo katika mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya Ntaganda kuanza Jumatano

Kesi dhidi ya aliyekuwa kiongozi wa waasi DRC, Bonsco Nteganda kuanza kesho katika mahakama ya ICC iliyoko the Haque Jumatano

 

9 years ago

BBCSwahili

Ushahidi dhidi ya Ntaganda watolewa ICC

Shahidi wa kwanza ameanza kutoa ushahidi wake katika kesi ya aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Congo Bosco Ntaganda katika mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita mjini The Hague.

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC:Tuna ushahidi dhidi ya Ntaganda

Mahakama ya kimataifa ya ICC imesema imepata ushahidi wa kutosha kumfungulia mashitaka mbabe wa kivita wa DRC Bosco Ntaganda.

 

9 years ago

StarTV

Ntaganda kusimama kizimbani ICC leo

Mwendesha mashtaka mkuu wa mahakama ya ICC, Fatou Bensouda, amemtaja Bosco Ntaganda kama mtu mwenye sifa mbaya.

Kesi dhidi ya kiongozi huyo wa zamani wa waasi Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC inatarajiwa kuanza kesho.

Ntaganda anatuhumiwa kupanga na kuendesha kampeini ya kikatili Mashariki mwa Congo.

Bensouda amesema Ntaganda aliwalazimisha mamia ya watoto kujiunga na jeshi lake na kwamba wanajeshi wasichana walibakwa na kuwekwa kama watumwa wa ngono.

Wakili wa Ntaganda anayetoka...

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC kuamua kesi dhidi ya Katanga

Mahakama ya kimataifa ya jinai ICC,itatoa hukumu dhidi ya mbabe wa vita kutoka Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, Germain Katanga.

 

10 years ago

Habarileo

ICC yafuta kesi dhidi ya Rais Uhuru Kenyata

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.MAHAKAMA ya kimataifa ya ICC imetupilia mbali kesi ya jinai inayomkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bosco Ntaganda mahakamani ICC

Bosco Ntaganda, anayetuhumiwa kwa uhalifu wa kivita DRC, atafikishwa ICC leo kujibu makosa ya kuwatumia watoto kama wanajeshi, ubakaji na mauaji

 

9 years ago

GPL

NTAGANDA ANAKANUSHA MASHTAKA YANAYOMKABILI-ICC

Aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Bosco Ntaganda Aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Bosco Ntaganda amekanusha mashtaka yaliyokuwa yakimkabili ya uhalifu wa kivita na ukatili dhidi ya binadamu, baada ya kufikishwa katika mahakama ya Kimataifa ya makosa ya jinai, ICC, iliyoko mjini tThe Haque. Bosco Ntaganda anatuhumiwa na mashtaka 18 ikiwemo kuhusika na...

 

9 years ago

BBC

DR Congo's Ntaganda ICC trial to begin

Congolese rebel leader Bosco Ntaganda is due to go on trial for war crimes at the International Criminal Court in The Hague.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani