Ntaganda kusimama kizimbani ICC leo
Mwendesha mashtaka mkuu wa mahakama ya ICC, Fatou Bensouda, amemtaja Bosco Ntaganda kama mtu mwenye sifa mbaya.
Kesi dhidi ya kiongozi huyo wa zamani wa waasi Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC inatarajiwa kuanza kesho.
Ntaganda anatuhumiwa kupanga na kuendesha kampeini ya kikatili Mashariki mwa Congo.
Bensouda amesema Ntaganda aliwalazimisha mamia ya watoto kujiunga na jeshi lake na kwamba wanajeshi wasichana walibakwa na kuwekwa kama watumwa wa ngono.
Wakili wa Ntaganda anayetoka...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Kesi dhidi ya Ntaganda kuanza ICC leo
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Ntaganda kizimbani the Hague
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Bosco Ntaganda mahakamani ICC
9 years ago
BBC02 Sep
DR Congo's Ntaganda ICC trial to begin
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Ushahidi dhidi ya Ntaganda watolewa ICC
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tpJpzeqtCCkdX9UHuhF6pR6T6PdXX1NNT0dlje*G0l5DLfDeVUA8o-xralZeOodSxlXaq6y72OKWpq8M92GylZWfm4KQwE5y/2013_DRC_BoscoICC.jpg?width=650)
NTAGANDA ANAKANUSHA MASHTAKA YANAYOMKABILI-ICC
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
ICC:Tuna ushahidi dhidi ya Ntaganda
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Hariri:Mwandishi kizimbani ICC
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Kamanda wa LRA kupandishwa kizimbani ICC