Hariri:Mwandishi kizimbani ICC
Bi Khayat anashutumiwa kwa kutoa taarifa kuwahusu mashahidi katika kesi ya mauaji ya waziri mkuu wa zamani wa Lebanon,Rafik Hariri.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV02 Sep
Ntaganda kusimama kizimbani ICC leo
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/06/09/140609161852_ntaganda_512x288_._nocredit.jpg)
Mwendesha mashtaka mkuu wa mahakama ya ICC, Fatou Bensouda, amemtaja Bosco Ntaganda kama mtu mwenye sifa mbaya.
Kesi dhidi ya kiongozi huyo wa zamani wa waasi Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC inatarajiwa kuanza kesho.
Ntaganda anatuhumiwa kupanga na kuendesha kampeini ya kikatili Mashariki mwa Congo.
Bensouda amesema Ntaganda aliwalazimisha mamia ya watoto kujiunga na jeshi lake na kwamba wanajeshi wasichana walibakwa na kuwekwa kama watumwa wa ngono.
Wakili wa Ntaganda anayetoka...
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Kamanda wa LRA kupandishwa kizimbani ICC
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-kCfwItAexIo/VatiyqgZRkI/AAAAAAAA36c/menfWDSjxTM/s72-c/mkotya%2B1.jpg)
HARIRI WA GAZETI LA MTANZANIA,KHAMIS MKOTYA ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE KUPAMBANA NA NKAMIA JIMBO LA CHEMBA,DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-kCfwItAexIo/VatiyqgZRkI/AAAAAAAA36c/menfWDSjxTM/s640/mkotya%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EOOZgmycYOI/Vatiye14DXI/AAAAAAAA36g/2739rTF8Xww/s640/mkotya%2B2.jpg)
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
ICC:''Yebei aliwahonga mashahidi ICC''