Kamanda wa LRA kupandishwa kizimbani ICC
Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la waasi la Lord resistance Army,Dominic Ong'wen atafikishwa katika mahakama ya kimataifa ya ICC
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Kamanda wa LRA kufikishwa ICC
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Kamanda mkuu wa LRA akabidhiwa ICC
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Kaburi la kamanda wa LRA lapatikana
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80226000/png/_80226717_breaking_image_large-3.png)
LRA commander 'to be sent to ICC'
11 years ago
Mwananchi26 May
Bibi wa ‘unga’ kupandishwa kizimbani leo
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-h6p8VnU0RP0/U8KQQwUO9oI/AAAAAAAABWc/z8OOKwhaWbA/s72-c/kafulila.jpg)
BREAKING NEWS!!! - KAFULILA KUPANDISHWA KIZIMBANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-h6p8VnU0RP0/U8KQQwUO9oI/AAAAAAAABWc/z8OOKwhaWbA/s1600/kafulila.jpg)
SAKATA la Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL), kutuhumiwa kuchota fedha katika akaunti ya Escrow, limechukua sura mpya baada ya kampuni hiyo kuamua kumburuta mahakamani Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) na kumfungulia kesi ya madai ya sh. bilioni 310.
IPTL kwa kushirikiana na Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited na Mtendaji Mkuu wa kampuni hizo, Harbinder Sign Seth, wamemburuta Kafulila katika Mahakama Kuu ya...
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Chid Benz kupandishwa kizimbani kesho
MSANII wa muziki wa hip hop, Rashid Makwiro ‘Chid Benzi’ anaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kukamatwa na dawa za kulevya na kesho anatarajiwa kufikishwa mahakamani. Chidi...
10 years ago
Habarileo31 May
Vigogo 5 TRL kupandishwa kizimbani kashfa ya mabehewa
MAOFISA watano wa Serikali, wanatarajiwa kupandishwa kizimbani hivi karibuni, kutokana na kashfa ya uagizaji wa mabehewa 274 kutoka India, huku wengine wakitarajiwa kuchukuliwa hatua za kiutawala.
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Dominic Ongwen wa LRA akabidhiwa kwa ICC