Kesi Bunge Maalum kuanza kusikilizwa leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inaanza kusikiliza kesi ya Kikatiba, iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Saidi Kubenea akihoji mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba, linaloendelea mkoani Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Sep
Uamuzi kesi kupinga Bunge Maalum leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa uamuzi wa kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea akihoji mamlaka ya Bunge la Katiba.
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Kesi ya Ponda kusikilizwa leo
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Kesi ya kusafirisha twiga hai kusikilizwa leo
9 years ago
Bongo505 Oct
Kesi ya kuamua kama Oscar Pistorius ataachiwa huru kusikilizwa leo
10 years ago
Habarileo16 Sep
Kesi kusimamisha Bunge Maalum yatupwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupa ombi la kusimamisha vikao vya Bunge la Katiba, vinavyoendelea mjini Dodoma, lililowasilishwa na Mwanahabari Said Kubenea.
10 years ago
Habarileo19 Sep
Hukumu kesi Bunge Maalum Septemba 22
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imepanga Septemba 22 mwaka huu kutoa uamuzi wa ombi la Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kufungua kesi ya kupinga vikao vya Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mkoani Dodoma. Jopo la majaji watatu likiongozwa na Jaji Augustine Mwarija, Dk Fauz Twaib pamoja na Aloysius Mujulizi limeridhia hivyo jana baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili.
10 years ago
Habarileo24 Sep
Utata kesi ya Kubenea kupinga Bunge Maalum
KESI ya kikatiba iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea akihoji mamlaka ya Bunge la Katiba, jana imeibua utata baada ya majaji kubaini maana mbili tofauti ya kifungu cha 25(2) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Namba 83 ya mwaka 2011.
10 years ago
GPLHUKUMU YA KESI YA KUBENEA KUHUSU BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Kesi ya Simba kuanza leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo itaanza kusikiliza kesi iliyofunguliwa na wanachama watatu wa Klabu ya Simba, wakiomba itoe amri ya muda ya kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu...