Kesi ya kuamua kama Oscar Pistorius ataachiwa huru kusikilizwa leo
Bodi ya parole jijini Johannesburg, Afrika Kusini ilitarajiwa kutoa uamuzi wa kama itamwachia huru Oscar Pistorius kutoka gerezeni Jumatatu hii. Bodi hiyo ilikutana jijini Durban mwezi uliopita lakini iliahirisha kesi yake kwa wiki mbili. Katika kipindi hicho idara ya haki ilisema haikupata muda wa kumaliza kesi ya Pistorius kutokana na kuwa na mambo ya kuyapitia. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Kesi ya Oscar Pistorius kuanza leo
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Kesi ya Ponda kusikilizwa leo
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Mahakama kuamua kesi ya Kinana leo
10 years ago
Habarileo17 Sep
Kesi Bunge Maalum kuanza kusikilizwa leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inaanza kusikiliza kesi ya Kikatiba, iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Saidi Kubenea akihoji mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba, linaloendelea mkoani Dodoma.
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Kesi ya kusafirisha twiga hai kusikilizwa leo
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
kesi ya Pistorius yaendelea leo
11 years ago
Mwananchi01 Jul
HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/PISTORIOUS-3.jpg)
RUFAA YA PISTORIUS KUSIKILIZWA NOVEMBA 3 MWAKA HUU
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/154F6/production/_85068278_83487936.jpg)