Mahakama kuamua kesi ya Kinana leo
 Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, leo inatarajiwa kutoa uamuzi, dhidi pingamizi zilizowasilishwa na upande wa mlalamikiwa kwa njia ya maandishi dhidi ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Mahakama kuamua kuhusu kesi ya Mubarak
9 years ago
Bongo505 Oct
Kesi ya kuamua kama Oscar Pistorius ataachiwa huru kusikilizwa leo
9 years ago
Vijimambo22 Oct
Mahakama leo kusikiliza hoja kesi mita 200 vituoni.
![](http://www.itv.co.tz/media/image/Mahakama.jpg)
Katika kesi hiyo namba 37 ya mwaka huu, mlalamikaji anaiomba mahakama itoe tafsiri ya kifungu cha 104 kidogo cha (1) cha Sheria ya Uchaguzi kama kinazuia ama la wananchi kukaa umbali wa mita 200 baada ya kupiga kura katika vituo vyao....
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Kesi ya Zitto dhidi ya Chadema kutajwa leo Mahakama Kuu Dar
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Mahakama kuamua pingamizi la Uamsho
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R3Tu3EirCPc/UwJG0vYnNZI/AAAAAAAFNok/-DgiP9kMun0/s72-c/download.jpg)
mwenendo wa kesi ya mauaji ya bila kukusudia ya lulu michael mahakama kuu jijini dar es salaam leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-R3Tu3EirCPc/UwJG0vYnNZI/AAAAAAAFNok/-DgiP9kMun0/s1600/download.jpg)
11 years ago
BBCSwahili07 Mar
ICC kuamua kesi dhidi ya Katanga
9 years ago
StarTV29 Dec
 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.
Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.
Baada ya uchaguzi mkuu...
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Sababu za Massaburi kuamua kufuta kesi ya Ubunge Ubungo…(+Audio)
Baada ya uchaguzi mkuu kufanyika Oktoba 25, 2015 kisha matokeo kutangazwa, matukio mbalimbali yaliibuka ikiwa ni pamoja na baadhi ya wagombea walioshindwa kuamua kwenda mahakamani kupinga uhalali wa matokeo. Mmoja kati ya hao alikuwa Didas Massaburi aliyekuwa mgombea ubunge Ubungo kupitia CCM akipinga ushindi wa Said Kubenea wa Chadema. Na sasa kaamua kufuta kesi hiyo, nini sababu za kufanya hivyo? majibu […]
The post Sababu za Massaburi kuamua kufuta kesi ya Ubunge Ubungo…(+Audio) appeared...