Sababu za Massaburi kuamua kufuta kesi ya Ubunge Ubungo…(+Audio)
Baada ya uchaguzi mkuu kufanyika Oktoba 25, 2015 kisha matokeo kutangazwa, matukio mbalimbali yaliibuka ikiwa ni pamoja na baadhi ya wagombea walioshindwa kuamua kwenda mahakamani kupinga uhalali wa matokeo. Mmoja kati ya hao alikuwa Didas Massaburi aliyekuwa mgombea ubunge Ubungo kupitia CCM akipinga ushindi wa Said Kubenea wa Chadema. Na sasa kaamua kufuta kesi hiyo, nini sababu za kufanya hivyo? majibu […]
The post Sababu za Massaburi kuamua kufuta kesi ya Ubunge Ubungo…(+Audio) appeared...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Mrema hajafuta kesi ya Ubunge wa Mbatia, kingine kilichomuumiza?….(+Audio)
Baada ya kuenea kwa taarifa ya aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Vunjo Augustine Mrema (TLP) kuwa kaamua kufuta kesi ya kupinga ushindi wa Mbunge James Mbatia (NCCR-Mageuzi) huu ni wakati wako wa kumsikiliza hapa chini kwa kubonyeza Play na kuupata ukweli wote kutoka kwake. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post Mrema hajafuta kesi ya Ubunge wa Mbatia, kingine kilichomuumiza?….(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Mahakama kuamua kuhusu kesi ya Mubarak
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Mahakama kuamua kesi ya Kinana leo
11 years ago
BBCSwahili07 Mar
ICC kuamua kesi dhidi ya Katanga
10 years ago
Habarileo02 Oct
Mahakama yakataa ombi kufuta kesi ya Uamsho
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imetupilia mbali ombi la kufutwa kwa kesi ya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa Uamsho, Farid Ahmed na wenzake 21, kwa kuwa haina mamlaka ya kufanya hivyo.
9 years ago
Bongo526 Nov
Mc Koba aeleza sababu za kuamua kutumia mtindo wa mchiriku na mdundiko kwenye muziki wake
Aliyewahi kuwa muimbaji wa kundi la zamani la Watu Pori kutoka Morogoro, Mc Koba amesema ameamua kufanya mabadiliko kidogo katika style ya muziki wake ili kwenda sawa na matarajio ya wengi ambao hupenda kuona mabadiliko kutoka kwa wasanii ambao wako kwenye game kwa muda mrefu.
Akizungumza kupitia E Newz ya EATV, Koba ametoa sababu nyingine ya kuamua kufanya aina ya muziki wenye mchanganyiko wa mdundiko na mchiriku.
“Kwanini nimeamua kufanya mtindo huu aina ya mchanganyiko wa mdundiko na...
9 years ago
Bongo505 Oct
Kesi ya kuamua kama Oscar Pistorius ataachiwa huru kusikilizwa leo
9 years ago
StarTV04 Nov
TFF/ZFA Wakutana kujadili kutatua mgogoro wa kufuta kesi mahakamani.
Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limekutana na Chama cha Soka Zanzibar (ZFA) kujadili mgogoro wa chama hicho baada ya baadhi ya wanachama kuwashtaki viongozi wa ZFA Mahakamani kwa madai ya ukiukaji wa katiba.
Kikao hicho kimefanyika Jijini Dar Es Salaam ikiwa na jitihada za TFF kutaka kutatua mgogoro huo ambapo hadi mwisho wa kikao, pande hizo zimekubaliana kufuta kesi hiyo mahakamani.
Soka la Zanzibar kwa sasa ni pasua kichwa.
Pasua kichwa hiyo inatokana Wazanzibar kupeleka soka lao katika...
11 years ago
Bongo513 Aug
Audio: Hutaamini ukiisikia sababu iliyomfanya Dogo Janja aache shule!