Mahakama kuamua pingamizi la Uamsho
Hatima ya usikilizwaji wa maombi ya marejeo ya viongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), inatarajiwa kujulikana leo, wakati Mahakama Kuu Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali la Jamhuri dhidi ya maombi hayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Oct
Mahakama yakataa ombi kufuta kesi ya Uamsho
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imetupilia mbali ombi la kufutwa kwa kesi ya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa Uamsho, Farid Ahmed na wenzake 21, kwa kuwa haina mamlaka ya kufanya hivyo.
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Mahakama yatupa pingamizi la Majura
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Mahakama kuamua kesi ya Kinana leo
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Mahakama kuamua kuhusu kesi ya Mubarak
10 years ago
Vijimambo25 Mar
MAHAKAMA YATUPILIA MBALI PINGAMIZI LA LIMBU
![MWIGAMBA.jpg MWIGAMBA.jpg](http://www.mabadiliko.co.tz/media/kunena/attachments/45/MWIGAMBA.jpg)
Pichani ni Kadawi Limbu (kulia) akiwa na Samson Mwigamba
Leo Mahakama Kuu kanda ya Dar, Itasikiliza Kwa Mara ya kwanza Ombi la Kadawi Limbu, Ambye Ni Mwenyekiti wa Muda wa ACT-TANZANIA Dhidi ya Katibu Mkuu wa Chama hicho, Ndugu Samson Mwigamba.
Shauri hilo ni namba 17 la Mwaka 2015, Katika Maombi yake kwa Mahakama Ndugu Limbu Anataka Mahakama Imzuie Mwigamba na Wenzie kujihusisha na ACT, Maombi Mengine nikutaka Mahakama kuzuia Mkutano Mkuu wa Chama hicho unaotarajiwa kufanyika Mwishoni Mwa...
9 years ago
StarTV12 Nov
KESI YA UGAIDI: Mahakama ya rufaa yasikiliza rufani ya kiongozi wa Uamsho.
Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imesikiliza Rufaa iliyofunguliwa na Wakili wa Kiongozi wa Jumuiya ya Taasisi ya Kiislam ya uamsho na Mihadhara Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed na wenzake dhidi ya uamuzi wa mahakama kuu kuwa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ina uwezo wa kusikiliza kesi yao.
Wakati rufaa hiyo ikiwasilishwa Mahakama ya Rufaa, Upande wa Serikali ukaandika kusudio la kutaka kukata rufaa kupinga kusikilizwa kwa kesi hiyo kwamba shauri limewasilishwa kabla ya muda.
Kwa kuwa Kesi hiyo...
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Mahakama yatupa pingamizi la ubunge dhidi ya Dk Mwakyembe
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Mahakama yatupa pingamizi la Serikali kesi ya Mawazo
11 years ago
GPL06 Jan
KUTOKA MAHAKAMA KUU BAADA YA HUKUMU YA PINGAMIZI LA ZITTO KUAIRISHWA