Kesi ya bilionea Msuya kuanza kunguruma leo
Tukio la mauaji ya mfanyabiashara tajiri wa Mirerani, Erasto Msuya litawekwa hadharani kuanzia leo wakati mashahidi 50 wa upande wa Jamhuri watakapoanza kutoa ushahidi wao kwa siku tano mfululizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Mawakili wakata rufaa kesi ya bilionea Msuya
NA SAFINA SARWATT, MOSHI.
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Moshi imeahirisha kesi ya mauaji ya bilionea Erasto Msuya, baada ya upande wa utetezi kukata rufaa kutokana na kutoridhishwa na uamuzi uliotolewa wa kutupilia mbali ombi lao la kutopokewa kwa maelezo ya mshtakiwa wa tatu.
Upande wa utetezi unaongozwa na jopo la mawakili wanne ambao ni Hudson Ndusyepo anayemwakilisha mshtakiwa wa kwanza, Majura Magafi anayewawakilisha mshtakiwa wa pili na tano, Emmanuel Safari anayemwakilisha...
9 years ago
Vijimambo08 Oct
Mabishano makali yaibuka kesi mauaji bilionea Msuya.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mahakama-08Oct2015(1).png)
Baadhi ya washtakiwa wa kesi ya mauaji ya kukusudia ya mfanyabiashara, bilionea wa madini ya Tanzanite, Erasto Msuya, wakitoka nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi jana, baada ya kusikiliza ushahidi unaotolewa na mashahidi wa upande wa mashtaka. PICHA NA GODFREY MUSHIMahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi, imeipokea ripoti ya uchunguzi wa kifo cha mfanyabiashara bilionea wa madini ya Tanzanite, Erasto Msuya (43), iliyosainiwa na Mganga Mkuu wa Wilaya ya Hai, Dk. Paul Chaote,...
11 years ago
MichuziMMOJA AACHIWA HURU KESI YA MAUAJI YA BILIONEA WA MADINI ERASTO MSUYA
OFISI ya mkurugenzi wa Mashtaka Nchini imemfutia mashtaka ya mauaji,mmoja kati ya watuhumiwa nane wa mauaji ya kukusudia dhidi ya mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite bilionea , Erasto Msuya (43).
Hati ambayo imetumika kumwachia huru Joseph Damas (Chusa) ambaye pia ni mfanyabiashara maarufu wa madini hayo imetolewa na kusainiwa na mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) Elieza Feleshi na kisha Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuiwasilisha kwa Hakimu...
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Kesi Bunge la Katiba kunguruma rasmi leo
10 years ago
Vijimambo11 Feb
'Mauaji ya Bilionea Msuya yalisukwa hivi'
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Erasto-11Feb2015.jpg)
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi imeelezwa namna mauaji ya ‘Bilionea wa Madini ya Tanzanite’, Erasto Msuya (43), yalivyosukwa na mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo, Sharif Athuman (31), ambaye ni mchimbaji mdogo wa madini na mkazi wa Kimandolu, mkoani Arusha.
Sharif na wenzake; Shaibu Saidi maarufu kama “Mredii” (38), mkazi wa Songambele, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara na Mussa Mangu (30),...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Mashahidi 50 kutoa ushahidi mauaji ya bilionea Msuya
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Mtuhumiwa mauaji ya bilionea Msuya aachiwa huru
OFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini imemfutia kesi ya mauaji ya kukusudia mfanyabiashara Joseph Damas ‘Chusa’ anayetuhumiwa kumuua mfanyabiashara mwenzake wa madini ya tanzanite, Erasto Msuya (43). Hati ya kumwachia...
10 years ago
Vijimambo13 Feb
MAUAJI YA BILIONEA MSUYA YALISUKWA HIVI...HATARI SANA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-P8u0sTjfqh8%2FVN1AVeMdPkI%2FAAAAAAADYAk%2FCcvXM9MFHjU%2Fs1600%2Fbilionea.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-YZ5rH4ohbG8%2FVN1AVZe2b9I%2FAAAAAAADYAg%2FiJaDNJO51gk%2Fs1600%2Ferasto%252Bmsuya.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Kesi ya Simba kuanza leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo itaanza kusikiliza kesi iliyofunguliwa na wanachama watatu wa Klabu ya Simba, wakiomba itoe amri ya muda ya kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu...