Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAUAJI YA BILIONEA MSUYA YALISUKWA HIVI...HATARI SANA

Sharif na wenzake; Shaibu Saidi maarufu kama “Mredii” (38), mkazi wa Songambele, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara na Mussa Mangu (30), Shangarai kwa Mrefu ( Arusha), Jalila Said (28), mkazi wa Babati, Sadiki Jabir a.k.a “Msudani” (32), wa Dar es Salaam na Lang’ata, wilayaniHai, Karim Kihundwa (33), wa Kijiji cha Lawate, Wilaya ya Siha na Alli Musa maarufu “Mjeshi”, wa Babati, mkoani Manyara, wanakabiliwa na kesi hiyo ya mauaji namba 12 ya mwaka 2014. Wakili Mkuu Mfawidhi wa Jamhuri...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

'Mauaji ya Bilionea Msuya yalisukwa hivi'

Korti yaelezwa simu zilivyonunuliwa , Tanzanite ilitumika kama chamboErasto Msuya
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi imeelezwa namna mauaji ya ‘Bilionea wa Madini ya Tanzanite’, Erasto Msuya (43), yalivyosukwa na mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo, Sharif Athuman (31), ambaye ni mchimbaji mdogo wa madini na mkazi wa Kimandolu, mkoani Arusha.

Sharif na wenzake; Shaibu Saidi maarufu kama “Mredii” (38), mkazi wa Songambele, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara na Mussa Mangu (30),...

 

9 years ago

Mwananchi

Mashahidi 50 kutoa ushahidi mauaji ya bilionea Msuya

Tukio la mauaji ya mfanyabiashara tajiri wa Mererani, Erasto Msuya litawekwa hadharani wiki ijayo wakati mashahidi 50 wa Jamhuri watakapoanza kutoa ushahidi wao kwa siku tano mfululizo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtuhumiwa mauaji ya bilionea Msuya aachiwa huru

OFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini imemfutia kesi ya mauaji ya kukusudia mfanyabiashara Joseph Damas ‘Chusa’ anayetuhumiwa kumuua mfanyabiashara mwenzake wa madini ya tanzanite, Erasto Msuya (43). Hati ya kumwachia...

 

9 years ago

Vijimambo

Mabishano makali yaibuka kesi mauaji bilionea Msuya.


Baadhi ya washtakiwa wa kesi ya mauaji ya kukusudia ya mfanyabiashara, bilionea wa madini ya Tanzanite, Erasto Msuya, wakitoka nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi jana, baada ya kusikiliza ushahidi unaotolewa na mashahidi wa upande wa mashtaka. PICHA NA GODFREY MUSHIMahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi, imeipokea ripoti ya uchunguzi wa kifo cha mfanyabiashara bilionea wa madini ya Tanzanite, Erasto Msuya (43), iliyosainiwa na Mganga Mkuu wa Wilaya ya Hai, Dk. Paul Chaote,...

 

11 years ago

Michuzi

MMOJA AACHIWA HURU KESI YA MAUAJI YA BILIONEA WA MADINI ERASTO MSUYA

Na Ripota wa Globu ya Jamii.
OFISI ya mkurugenzi wa Mashtaka Nchini imemfutia mashtaka ya mauaji,mmoja  kati ya watuhumiwa nane wa mauaji ya kukusudia dhidi ya mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite bilionea , Erasto Msuya (43).
Hati ambayo imetumika kumwachia huru Joseph Damas (Chusa) ambaye pia ni mfanyabiashara maarufu wa madini hayo  imetolewa na kusainiwa na mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) Elieza Feleshi na kisha Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuiwasilisha kwa Hakimu...

 

9 years ago

Mwananchi

Kesi ya bilionea Msuya kuanza kunguruma leo

Tukio la mauaji ya mfanyabiashara tajiri wa Mirerani, Erasto Msuya litawekwa hadharani kuanzia leo wakati mashahidi 50 wa upande wa Jamhuri watakapoanza kutoa ushahidi wao kwa siku tano mfululizo.

 

9 years ago

Mtanzania

Mawakili wakata rufaa kesi ya bilionea Msuya

NA SAFINA SARWATT, MOSHI.

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Moshi imeahirisha kesi ya mauaji ya bilionea Erasto Msuya, baada ya upande wa utetezi kukata rufaa kutokana na kutoridhishwa na uamuzi uliotolewa wa kutupilia mbali ombi lao la kutopokewa kwa maelezo ya mshtakiwa wa tatu.

Upande wa utetezi unaongozwa na jopo la mawakili wanne ambao ni Hudson Ndusyepo anayemwakilisha mshtakiwa wa kwanza, Majura Magafi anayewawakilisha mshtakiwa wa pili na tano, Emmanuel Safari anayemwakilisha...

 

11 years ago

CloudsFM

MAHAKAMA YAELEZWA JINSI BILIONEA ERASTO MSUYA ALIVYOUAWA KINYAMA KWA KUTUMIA BUNDUKI YA SMG

Bunduki ya kivita aina ya Sub Machine Gun (SMG) iliyotumika kumuua mfanyabiashara tajiri wa Mirerani, Erasto Msuya, ilinunuliwa kwa Sh4 milioni nchini Kenya, Mahakama imeelezwa.
Imeelezwa pia kwamba wauaji wanne waliokwenda eneo la tukio kutekeleza mauaji hayo, walilipwa Sh5 milioni kila mmoja na washirika wao wakilipwa Sh3 milioni kila mmoja.

Hayo yamo katika maelezo ya mashahidi 57 kwa washtakiwa yalisomwa mbele ya Hakimu Mkazi wa Mkoa Kilimanjaro, Munga Sabuni juzi na mawakili wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Msuya: Nashangaa hivi Sumaye anafikiri!

Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2015, Livingstone Luhere, amefanya mahojiano na waziri mkuu msitaa

Livingstone Ruhere

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani