Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msuya: Nashangaa hivi Sumaye anafikiri!

Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2015, Livingstone Luhere, amefanya mahojiano na waziri mkuu msitaa

Livingstone Ruhere

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

'Mauaji ya Bilionea Msuya yalisukwa hivi'

Korti yaelezwa simu zilivyonunuliwa , Tanzanite ilitumika kama chamboErasto Msuya
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi imeelezwa namna mauaji ya ‘Bilionea wa Madini ya Tanzanite’, Erasto Msuya (43), yalivyosukwa na mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo, Sharif Athuman (31), ambaye ni mchimbaji mdogo wa madini na mkazi wa Kimandolu, mkoani Arusha.

Sharif na wenzake; Shaibu Saidi maarufu kama “Mredii” (38), mkazi wa Songambele, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara na Mussa Mangu (30),...

 

10 years ago

Vijimambo

MAUAJI YA BILIONEA MSUYA YALISUKWA HIVI...HATARI SANA

Sharif na wenzake; Shaibu Saidi maarufu kama “Mredii” (38), mkazi wa Songambele, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara na Mussa Mangu (30), Shangarai kwa Mrefu ( Arusha), Jalila Said (28), mkazi wa Babati, Sadiki Jabir a.k.a “Msudani” (32), wa Dar es Salaam na Lang’ata, wilayaniHai, Karim Kihundwa (33), wa Kijiji cha Lawate, Wilaya ya Siha na Alli Musa maarufu “Mjeshi”, wa Babati, mkoani Manyara, wanakabiliwa na kesi hiyo ya mauaji namba 12 ya mwaka 2014. Wakili Mkuu Mfawidhi wa Jamhuri...

 

9 years ago

Bongo5

Naimba vizuri lakini nashangaa sifanikiwi — PNC

PNC anashangaa kuona kuwa anapokea sifa kibao kuwa anaimba vizuri lakini haelewi kwanini hafanikiwi kimuziki. Muimbaji huyo amesema kuwa hilo ni swali analoulizwa kila siku lakini anakosa majibu. “Hata mimi mwenyewe sijui tatizo ni nini,” PNC alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio. “Mimi nataka niwaambie kitu kimoja, kama wanavyoniuliza; mimi naimba muziki mzuri […]

 

10 years ago

Bongo5

Dully Sykes: Sishangai ugomvi wa Alikiba na Diamond, nashangaa wa TID na Q Chillah

Dully Sykes amedai kushangazwa kusikia watu wazima kama TID na Q Chillah wakilumbana kwa jambo la miaka mingi iliyopita na kwamba mambo kama hayo wanapaswa kuwaachia wadogo zao mathalan Alikiba na Diamond. Dully ameiambia Bongo5 kuwa TID na Q wamemfedhehesha. “Hawa ni watu wazima,” amesema Dully. “Mimi kama kuwazungumzia ninawazungumzia Diamond na Alikiba. Hawa ni […]

 

9 years ago

Bongo5

Zari: Diamond ananipenda hivi hivi pamoja na ninyi kuniona bibi!

12357542_428396244023192_1854107619_n

Kuna watu wanaodai kuwa make up ya Zari kwenye video ya Utanipenda! imemharibu na sasa mpenzi huyo wa Diamond amevunja ukimya na kuwajibu.

12357542_428396244023192_1854107619_n

Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Zari ameandika:

Need I remind some fools that this was a music video a lot of make up going on here and sometimes it just doesn’t do justice on a face, so if age is what is bothering you guess what, he knows there is a lot of young hoes out there but then again he prefers this old ass right here, so suck that up and take...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi …

Kocha wa zamani wa klabu ya FC Barcelona ambaye kwa sasa anaitumikia klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola jina lake limekuwa likitumika kupamba headlines tofauti tofauti za magazeti ya michezo barani Ulaya na Afrika, hususani juu ya stori za kocha huyo kuhusishwa kutaka kujiunga na Man City ila Chelsea na Man United […]

The post Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Martin Kadinda Hivi Kweli Meneja Ndo Anatakiwa Awe Hivi Kwa Mteja Wake? Jisomee Alichoandika

Katika pitapita zangu instagram nikakutana na post aliyoiweka Martin Kadinda kuhusu mteja wake mpya Elizabeth michael aka Lulu.Nilishangazwa sababu maneno haya hayakutakiwa kuwekwa na manager wake,labda kama ana mmanage kwenye biashara ya Ngono..Picha hiyohapo niliyo screenshoot.

 

11 years ago

TheCitizen

Muhimbili silent on Msuya

 Even as government leaders continue to visit former Prime Minister Cleopa Msuya admitted to the Muhimbili National Hospital (MNH) since Wednesday, the public has largely been kept in the dark about his health.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani