Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


THE MBONI SHOW yaanza kuunguruma January 2 ndani ya TBC

IMG_6576

 

Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba (wa pili ktoka kulia) akizungumza na waandishi wa habari jana katika  ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam wakati akitangaza kuanza kwa msimu wa tatu wa kipindi chake ‘The Mboni Show’ kinachotarajia kuanza Jan 2, 2015. Kushoto ni kiti Simpompa na kuanzia kulia ni Afisa Masoko wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (PSPF) Magira Werema na Kaimu Mkurugenzi wa Masoko TBC,Bw.Fadhili Chilumba.

Kutoka Kulia Afisa Masoko wa Mfuko wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

THE MBONI SHOW KUANZA KUUNGURUMA JANUARY 2 NDANI YA TBC

Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba (wa pili ktoka kulia) akizungumza na waandishi wa habari jana katika  ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam wakati akitangaza kuanza kwa msimu wa tatu wa kipindi chake 'The Mboni Show' kinachotarajia kuanza Jan 2, 2015. Kushoto ni kiti MC Zimpompa na kuanzia kulia ni Afisa Masoko wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (PSPF) Magira Werema na Kaimu Mkurugenzi wa Masoko TBC,Bw.Fadhili Chilumba.Kutoka Kulia Afisa Masoko wa Mfuko wa Taifa...

 

10 years ago

GPL

THE MBONI SHOW KUHAMIA TBC 1

Mboni Masimba akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Gladys Chiduo ‘Zipompa’ akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Michuzi

MBONI SHOW YA EATV YAHAMIA TBC

                                        Na Bakari  Issa,Dar es Salaam.
Mkurugenzi  wa Mboni  Show,Mboni Masimba  ameamua  kuhamishia kipindi  cha Mboni show katika kituo cha utangazaji  cha Taifa (TBC) kutoka EATV ili  kuvutia watazamaji wengi  na wapya kwa wazee pamoja  na vijana.
Kipindi  cha Mboni  Show  kitaanza kurushwa   TBC kuanzia  January  2 mwaka 2015 siku ya Ijumaa  saa 3 Usiku-4Usiku  na marudio  Jumanne  saa 9:00 mchana-10:00mchana.
Akizungumza  na waandishi wa  habari,mapema leo...

 

9 years ago

Vijimambo

Flaviana Matata ndani ya The Mboni Show

Mwanamitindo wakimataifa Flaviana Matata ambaye anafanyia shughuli zake nchini Marekani , leo alikuwa kwenye kipindi cha Runinga cha The Mboni Show kama mgeni mwalikwa akiiwakilisha PSPF akiwa mmoja wa Balozi wa PSPF akiwakilisha DIASPORA.Akiwa kwenye kipindi hicho sambamba na mwanadada Mboni Masimba alizungumzia masuala mbalimbali ikiwepo maisha ,familia sambamba na kazi zake kama balozi wa PSPF ndani na nje ya nchi.PSPF ni wadhamini wa kuu wa The Mboni Show .aflaviana matata akihojiwa na thembonishow-10flaviana matata akihojiwa na thembonishow flaviana matata akihojiwa na thembonishow-2 flaviana matata akihojiwa na thembonishow-3 flaviana matata akihojiwa na thembonishow-9 flaviana matata akihojiwa na thembonishow-6 flaviana matata akihojiwa na thembonishow-7
flaviana matata akihojiwa na thembonishow-18mara baada ya show...

 

11 years ago

Michuzi

club rahaleo show ndani ya mtandao kupitia TBC 1 chini ya manju wa muziki nchini Masoud Masoud mariam wa migomba

Kwa video hii na zingine kibao nenda youtube  kisha search 'Club Rahaleo show'

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kesi ya Madabida yaanza kuunguruma


NA MWANDISHI WETU
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa kuwa Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), ilikagua na kugundua dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) zilizotengenezwa na Kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd (TPL), kinachomilikiwa na Ramadhani Madabida kuwa ni bandia.
Hayo yalidaiwa jana na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Osward Tibabyekomya, mbele ya Hakimu Mkazi, Nyigulila Mwaseba, wakati akiwasomea maelezo ya awali Madabida na wenzake.
Madabida, ambaye ni Ofisa...

 

11 years ago

Michuzi

THE MBONI SHOW NA KATI YA LONDON 2014

 Newdeal  Africa   in  collaboration  with  Kass  Grill  and  Didas  Entertainment  brings  to  you the  Mboni  show  who  are  filming  in  London  starting  from  the 24th /2/2014.

Je  we ni  mjasiliamali au  unamafanikio  unayotaka  tuyajuwe  kama  wa Tanzania au  una  hadith  ambayo una  nadhani  ni  mfano  wa  kuigwa?

Basi  wasiliana  nasii  kwenye  simu :

Ayoub: 07960811614

Kassongo: 07404062209

Didas:07556171941

EMAIL: swahilidiaries@yahoo.co.uk

Thank you

Ayoub  Mzee

Chief...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani