Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


THE MBONI SHOW KUANZA KUUNGURUMA JANUARY 2 NDANI YA TBC

Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba (wa pili ktoka kulia) akizungumza na waandishi wa habari jana katika  ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam wakati akitangaza kuanza kwa msimu wa tatu wa kipindi chake 'The Mboni Show' kinachotarajia kuanza Jan 2, 2015. Kushoto ni kiti MC Zimpompa na kuanzia kulia ni Afisa Masoko wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (PSPF) Magira Werema na Kaimu Mkurugenzi wa Masoko TBC,Bw.Fadhili Chilumba.Kutoka Kulia Afisa Masoko wa Mfuko wa Taifa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

THE MBONI SHOW yaanza kuunguruma January 2 ndani ya TBC

IMG_6576

 

Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba (wa pili ktoka kulia) akizungumza na waandishi wa habari jana katika  ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam wakati akitangaza kuanza kwa msimu wa tatu wa kipindi chake ‘The Mboni Show’ kinachotarajia kuanza Jan 2, 2015. Kushoto ni kiti Simpompa na kuanzia kulia ni Afisa Masoko wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (PSPF) Magira Werema na Kaimu Mkurugenzi wa Masoko TBC,Bw.Fadhili Chilumba.

Kutoka Kulia Afisa Masoko wa Mfuko wa...

 

10 years ago

GPL

THE MBONI SHOW KUHAMIA TBC 1

Mboni Masimba akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Gladys Chiduo ‘Zipompa’ akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Michuzi

MBONI SHOW YA EATV YAHAMIA TBC

                                        Na Bakari  Issa,Dar es Salaam.
Mkurugenzi  wa Mboni  Show,Mboni Masimba  ameamua  kuhamishia kipindi  cha Mboni show katika kituo cha utangazaji  cha Taifa (TBC) kutoka EATV ili  kuvutia watazamaji wengi  na wapya kwa wazee pamoja  na vijana.
Kipindi  cha Mboni  Show  kitaanza kurushwa   TBC kuanzia  January  2 mwaka 2015 siku ya Ijumaa  saa 3 Usiku-4Usiku  na marudio  Jumanne  saa 9:00 mchana-10:00mchana.
Akizungumza  na waandishi wa  habari,mapema leo...

 

11 years ago

Michuzi

THE MBONI SHOW SASA KUANZA KUONEKANA KWENYE DSTV

The MBONI show sasa kuanza kuonekana kwenye DSTV

 

9 years ago

Vijimambo

Flaviana Matata ndani ya The Mboni Show

Mwanamitindo wakimataifa Flaviana Matata ambaye anafanyia shughuli zake nchini Marekani , leo alikuwa kwenye kipindi cha Runinga cha The Mboni Show kama mgeni mwalikwa akiiwakilisha PSPF akiwa mmoja wa Balozi wa PSPF akiwakilisha DIASPORA.Akiwa kwenye kipindi hicho sambamba na mwanadada Mboni Masimba alizungumzia masuala mbalimbali ikiwepo maisha ,familia sambamba na kazi zake kama balozi wa PSPF ndani na nje ya nchi.PSPF ni wadhamini wa kuu wa The Mboni Show .aflaviana matata akihojiwa na thembonishow-10flaviana matata akihojiwa na thembonishow flaviana matata akihojiwa na thembonishow-2 flaviana matata akihojiwa na thembonishow-3 flaviana matata akihojiwa na thembonishow-9 flaviana matata akihojiwa na thembonishow-6 flaviana matata akihojiwa na thembonishow-7
flaviana matata akihojiwa na thembonishow-18mara baada ya show...

 

11 years ago

Michuzi

club rahaleo show ndani ya mtandao kupitia TBC 1 chini ya manju wa muziki nchini Masoud Masoud mariam wa migomba

Kwa video hii na zingine kibao nenda youtube  kisha search 'Club Rahaleo show'

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani