INTRODUCING KIPINDI CHA "MAISHA NA MIKASA" KUANZA WIKI IJAYO NDANI YA TBC ONE NA VICKY KAMATA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/VVIbM4tSbow/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-snaiDT0TvIg/U58lBwmHqVI/AAAAAAAFrHc/DgbEGVO40Lg/s72-c/Vick+akikumbatiana+na+Kigwangala+(1).jpg)
Mhe. Vicky Kamata aibuka na wimbo mpya wa "Moyo wa mtu kichaka" baada ya mikasa yake ya kuugua ghafla kabla ya ndoa yake
11 years ago
Michuzi09 Jul
10 years ago
Habarileo27 Mar
Kipindi cha TBC kufichua ukali wa maisha ughaibuni
SHIRIKA la Utangazaji Tanzania(TBC), kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kitengo cha Diaspora wameanzisha kipindi cha runinga kitakachojulikana kama Bondeni kitakachokuwa kikielezea kwa undani maisha ya Watanzania waishio nchi mbalimbali duniani.
10 years ago
GPLTBC KUANZISHA KIPINDI CHA MAISHA YA WATANZANIA WALIO UGHAIBUNI
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Usikose kipindi kipya cha luninga ‘Nyumbani na Diaspora’ kinachoendeshwa na Maggid Mjengwa kila Ijumaa ndani ya TBC 1
Nyumbani na Diaspora!
Ni kipindi kipya cha saa nzima chenye kuhusiana na Watanzania wa nyumbani na walio nje ya mipaka yetu.
Ni kipindi daraja kitakachowaunganisha Watanzania katika kubaini fursa mbalimbali za kuinuka kimaendeleo, kwa mtu mmoja mmoja, jumuiya na hatimaye taifa.
Ni kipindi kitakachoongozwa na mchambuzi na mmoja wa wanahabari nguli hapa nchini. Si mwingine ni Maggid Mjengwa.
Jiunge nae kufuatilia mahojiano motomoto na watu wa kada mbalimbali kwenye masuala ya kiuchumi,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eUTS2Zkc8sU/U5jeud8FdSI/AAAAAAAAHGI/MvT9rQzUCAU/s72-c/Fabian+Lwamba.jpg)
Usikose kusikiliza kipindi cha NJE-NDANI wiki hii
![](http://1.bp.blogspot.com/-eUTS2Zkc8sU/U5jeud8FdSI/AAAAAAAAHGI/MvT9rQzUCAU/s640/Fabian+Lwamba.jpg)
Katika NJE-NDANI wiki hii kati ya utakayosikia mahojiano na Fabian Lwamba Mmoja wa ndugu watatu wanaounda kundi la KRYSTAAL ambao walizaliwa kwenye familia iliyojiweza, lakini mgogoro wa kisiasa ukawafanya waikimbie Zaire na kutengana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-3KVyCvXANxA/U5jfAypod9I/AAAAAAAAHGQ/U0uef84f1J4/s640/Lwamba+brothers.jpg)
10 years ago
Habarileo31 Oct
Bunge kuanza wiki ijayo
MKUTANO wa 16 na 17 wa Bunge unatarajiwa kuanza wiki ijayo, ambapo pamoja na mambo mbalimbali, utajadili miswada miwili binafsi, ukiwamo muswada binafsi wa mbunge, maazimio matatu na Muswada wa Kamati ya Bajeti.
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Kamati ya Zitto kuanza kazi wiki ijayo