Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBC KUANZISHA KIPINDI CHA MAISHA YA WATANZANIA WALIO UGHAIBUNI

Kaimu Mkurugenzi wa TBC ,Rosemary Jairo,  akizungumza jambo.  Kulia ni Juma Hashim (kulia) na wa kwanza kushoto ni Edna Rajabu.Meneja Huduma wa TBC, Edna Rajabu,  akijibu maswali yaliyoulizwa na…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kipindi cha TBC kufichua ukali wa maisha ughaibuni

Mkuu wa Mawasiliano TBC, Jane Shirima SHIRIKA la Utangazaji Tanzania(TBC), kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kitengo cha Diaspora wameanzisha kipindi cha runinga kitakachojulikana kama Bondeni kitakachokuwa kikielezea kwa undani maisha ya Watanzania waishio nchi mbalimbali duniani.

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Bongo5

Kabwela Foundation ya Stamina kuanzisha kipindi cha TV

Msanii wa muziki wa Hip Hop na mmiliki wa Kabwela Foundation taasisi inayojishughulika na masuala ya kutoa misaada kwa wenye mahitaji maalum katika jamii, Stamina, anatarajia kuanzisha kipindi cha TV ili kurusha mambo mbalimbali yanayofanywa na tasisi hiyo. Akizungumza na Bongo5, Stamina amesema taasisi hiyo kwa sasa imekuwa kubwa na inahitaji kipindi cha TT ili […]

 

9 years ago

Habarileo

Clouds kuanzisha kipindi cha kulinda watoto

KITUO cha televisheni cha Clouds kinatarajiwa kuanza kurusha kipindi kinachoelezea masuala ya kulinda watoto ambao kwa sasa wanakabiliwa na changamoto mbalimbali, nyingi zikitokana na wazazi au walezi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Usikose kipindi kipya cha luninga ‘Nyumbani na Diaspora’ kinachoendeshwa na Maggid Mjengwa kila Ijumaa ndani ya TBC 1

Mjengwa

Nyumbani na Diaspora!

Ni kipindi kipya cha saa nzima chenye kuhusiana na Watanzania wa nyumbani na walio nje ya mipaka yetu.

Ni kipindi daraja kitakachowaunganisha Watanzania katika kubaini fursa mbalimbali za kuinuka kimaendeleo, kwa mtu mmoja mmoja, jumuiya na hatimaye taifa.

Ni kipindi kitakachoongozwa na mchambuzi na mmoja wa wanahabari nguli hapa nchini. Si mwingine ni Maggid Mjengwa.

 Jiunge nae kufuatilia mahojiano motomoto na watu wa kada mbalimbali kwenye masuala ya  kiuchumi,...

 

10 years ago

Vijimambo

JITIRIRISHE ALICHOKISEMA LE MUTUZ JUU YA KIFO CHA KOMBA NA MAISHA YA WATU WA UGHAIBUNI

LE MUTUZ NATION LIVE STRAIGHT TALK!!;- Morning people U know binadam mwenye akili siku zote hujifunza kwa kuona bila kusubiri kuambiwa.....sihitaji kuambiwa kulichomuua Captain Komba for sure after all is said and done kilichomuua ni UNENE tu hamna lolote lingine I mean kama ni ugonjwa ulianzia kwenye UNENE....now I took a note na tayari nimeshaanza mazoezi tena leo asubuhi I realiza that nilikuwa nimejizembea sana toka nirudi bongo lakini now I got a wake up call na msiba wa Komba.....na it...

 

9 years ago

Bongo5

Amber Rose na Blac Chyna wadaiwa kusitisha mpango wa kuanzisha kipindi chao cha Tv

Marafiki walioshibana na ma ex wa marapper Wiz Khalifa na Tyga, Amber Rose na Blac Chyna inadaiwa wamesitisha mpango waliokuwa nao wa kuanzisha reality Tv show yao. Kwa mujibu wa TMZ, inasemekana kuwa Amber anampango wa kuja na reality show yake mwenyewe, huku Chyna yuko busy na biashara zake zingine. Licha ya uvumi kuwa moja […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani