Clouds kuanzisha kipindi cha kulinda watoto
KITUO cha televisheni cha Clouds kinatarajiwa kuanza kurusha kipindi kinachoelezea masuala ya kulinda watoto ambao kwa sasa wanakabiliwa na changamoto mbalimbali, nyingi zikitokana na wazazi au walezi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Kipindi cha Tuwalinde Watoto Wetu kuruka tena Alhamisi hii, Clouds TV
Mmiliki na mwendeshaji wa kipindi cha Tuwalinde Watoto Wetu, Janet Mwenda.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kipindi cha Tuwalinde Watoto Wetu kilichokuwa kikirushwa na Clouds TV, Alhamisi ya wiki hii kinatarajiwa kuanza tena kuonekana kupitia Clouds TV Alhamisi ya Disemba 10, saa tatu kamili usiku.
Akizungumza na Dewjiblog, Mmiliki na mwendeshaji wa kipindi hicho, Janet Mwenda amesema kuwa kipindi cha Alhamisi hii kinatarajiwa kuja na kitu kipya tofauti na vile walivyokizoea kuonekana hapo awali...
9 years ago
Dewji Blog19 Aug
Janet Sosthenes Mwenda aja na ujio wa kipindi kipya cha “Tuwalinde watoto wetu” Clouds tv
Pichani: Bi. Janet Sosthenes Mwenda
Na Andrew Chale, Modewjiblog
(Dar es Salaam). Mmiliki na Mweneshaji wa kipindi cha ‘Ongea na Janet’ Bi. Janet Sosthenes Mwenda kwa sasa anakuja na ujio mpya wa kipindi kinachoelezea masuala ya kuwalinda Watoto kwa kutoa elimu kiitwacho ‘Tuwalinde Watoto Wetu’ ambacho kinatarajiwa kuonekana kupitia kituo cha televisheni cha Clouds Tv na baadae pia ndani ya chaneli za Dstv.
Tuwalinde Watoto Wetu, kipindi kipya na cha kwanza kwa upande wa televisheni (Tv...
10 years ago
CloudsFM10 Dec
MAANDALIZI YA KIPINDI CHA MAHUSIANO CHA CLOUDS TV YAKIENDELEA ''LOCATION''
Washiriki wa kipindi cha Mahusiano cha Clouds Tv,Mwinjaku na Rachel wakiwa Location wakirekodi kipindi.
11 years ago
Bongo528 Jul
Kabwela Foundation ya Stamina kuanzisha kipindi cha TV
10 years ago
GPLTBC KUANZISHA KIPINDI CHA MAISHA YA WATANZANIA WALIO UGHAIBUNI
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Hukumu kwa Clouds Radio na TV ukiukwaji wa kanuni za utangazaji kipindi cha Bibi Bomba na njia panda
Mwenyekiti wa Kamati Maudhui Eng. Margaret Munyagi (wa pili kulia), akisoma hukumu dhidi ya Could FM na Clouds TV kuhusu uvunjwaji wa kanuni za utangazaji.. Wengine toka kushoto, Abdul Ngarawa, Joseph Mapunda na Walter Bugoya.(Picha kwa hisani ya Innocent Mungy wa TCRA).
Rulling Clouds Fm Radio by moblog
9 years ago
Bongo512 Oct
Amber Rose na Blac Chyna wadaiwa kusitisha mpango wa kuanzisha kipindi chao cha Tv
10 years ago
MichuziTCRA YAKITOZA FAINI KITUO CHA TELEVISHENI CHA CLOUDS TV NA RADIO CLOUDS FM KWA KUKIUKA MAUDHUI YA UTANGAZAJI
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Jinsi ya kulinda afya ya akili kipindi hiki cha mlipuko wa virusi vya corona