TCRA YAKITOZA FAINI KITUO CHA TELEVISHENI CHA CLOUDS TV NA RADIO CLOUDS FM KWA KUKIUKA MAUDHUI YA UTANGAZAJI
Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Margaret Munyagi (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Agosti 22, 2014 jijini Dar es Salaam, wakati akisoma maamuzi yaliyofikiwa na Mamlaka hiyo kuhusu shauri la ukiukaji wa kanuni za utangazaji namba 5/2014 dhidi ya Kituo cha Televisheni cha Clouds na Kituo cha Clouds Intertainment FM Radio cha Dar es Salaam. Kushoto ni Mjumbe wa Kamati hiyo, Bgoya Walter.
Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Hukumu kwa Clouds Radio na TV ukiukwaji wa kanuni za utangazaji kipindi cha Bibi Bomba na njia panda
Mwenyekiti wa Kamati Maudhui Eng. Margaret Munyagi (wa pili kulia), akisoma hukumu dhidi ya Could FM na Clouds TV kuhusu uvunjwaji wa kanuni za utangazaji.. Wengine toka kushoto, Abdul Ngarawa, Joseph Mapunda na Walter Bugoya.(Picha kwa hisani ya Innocent Mungy wa TCRA).
Rulling Clouds Fm Radio by moblog
10 years ago
Michuzi22 Aug
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dvZSdMWJQNk/Vcz3BLPr8kI/AAAAAAAHwbQ/NytPRyZKB-M/s72-c/tt.png)
Hukumu Ya Kukiukwa kwa Kanuni za Utangazaji Kituo Cha Utangazaji Cha ITV - vyapewa onyo kali
![](http://2.bp.blogspot.com/-dvZSdMWJQNk/Vcz3BLPr8kI/AAAAAAAHwbQ/NytPRyZKB-M/s640/tt.png)
1.0 Utangulizi:
Mnamo tarehe 10/08/2015, kituo cha ITV kilikiuka Kanuni za Huduma ya Utangazaji (Maudhui), 2005 kupitia kipindi cha Habari Zilizotufikia Hivi Punde kilichorushwa hewani kati ya saa 2.30 asubuhi hadi saa 5.30 asubuhi. Kipindi hiki kilikiuka Kanuni za Utangazaji kwa kutoa taarifa zisizo za kweli na za kichochezi zilizotangaza kwamba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano ya mgombea wa CHADEMA Mheshimiwa Edward Lowassa. Taarifa hiyo ilikuwa...
10 years ago
Michuzi12 Nov
SHEREHE ZA UZINDUZI WA STUDIO ZA KITUO KIPYA CHA UTANGAZAJI GHETTO RADIO TANZANIA
![](https://4.bp.blogspot.com/-EHiiLPSZN0w/VGIlWmM5_jI/AAAAAAAAY_Q/t7poGweSpyE/s640/8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qc5kMZWtlxw/VGIlM2D7oPI/AAAAAAAAY9M/lMEgwvuK4S8/s640/10.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YEYMQApvP-c/VGIlMjbKdrI/AAAAAAAAY9I/bBNM85P_ybA/s640/1.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-3_bl0Km9A9o/VGIlR-SVQKI/AAAAAAAAY-M/nmL8E09yVS0/s640/2.jpg)
Mkurugenzi wa...
10 years ago
Vijimambo12 Nov
SHEREHE ZA UZINDUZI WA STUDIO ZA KITUO KIPYA CHA UTANGAZAJI GHETTO RADIO TANZANIA ZAFANA
![](https://4.bp.blogspot.com/-EHiiLPSZN0w/VGIlWmM5_jI/AAAAAAAAY_Q/t7poGweSpyE/s640/8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qc5kMZWtlxw/VGIlM2D7oPI/AAAAAAAAY9M/lMEgwvuK4S8/s640/10.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YEYMQApvP-c/VGIlMjbKdrI/AAAAAAAAY9I/bBNM85P_ybA/s640/1.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-3_bl0Km9A9o/VGIlR-SVQKI/AAAAAAAAY-M/nmL8E09yVS0/s640/2.jpg)
Mkurugenzi wa...
10 years ago
CloudsFM10 Dec
MAANDALIZI YA KIPINDI CHA MAHUSIANO CHA CLOUDS TV YAKIENDELEA ''LOCATION''
Washiriki wa kipindi cha Mahusiano cha Clouds Tv,Mwinjaku na Rachel wakiwa Location wakirekodi kipindi.
![](http://api.ning.com/files/-*rcMYSmUcWz1ZdAppywCWbBBoJeuFHmYINn6GZQhvw1D3V1JQi9hAowEltO9WaZbTQyAKoJIUc4qZ1Jt5wLxfGsFB46LxJn/mahusiano7.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/-*rcMYSmUcViXGk48JIs*rtmR6*aDIUlUXQv8HCt86K6t4wGEwXlL-5Ra98GuhKalLZuqOZ5ePOgtyt08pM5UR21Dn8RBIea/mahusiano8.jpg?width=750)
10 years ago
CloudsFM02 Dec
MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA,JOSEPH KUSAGA AKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST KUZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast leo na Gerald Hando,ambapo kauli mbiu ya sherehe ya mwaka huu ni #TunakufunguliaDunia #KuwaUnachotaka