MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA,JOSEPH KUSAGA AKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST KUZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast leo na Gerald Hando,ambapo kauli mbiu ya sherehe ya mwaka huu ni #TunakufunguliaDunia #KuwaUnachotaka
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM02 Dec
PICHA:MASOUD KIPANYA NA FINA MANGO WAKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST WAKIZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Watangazaji wa zamani wa Clouds FM,Masoud Kipanya na Fina Mango wakizungumzia miaka 15 ya redio ya watu kwenye kipindi cha Power Breakfast wakiwa na mtangazaji wa kipindi hicho,Gerald Hando....PICHA ZAIDI ZINAWAJIA SOON...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wGwVB_Gm4fc/VObbt9RWqcI/AAAAAAAHEro/t3vQ2wwY5QM/s72-c/IMG-20150219-WA0104.jpg)
MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA GROUP,JOSEPH KUSAGA AKANUSHA TAARIFA YA KUUZWA KWA KITUO CHAKE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-wGwVB_Gm4fc/VObbt9RWqcI/AAAAAAAHEro/t3vQ2wwY5QM/s1600/IMG-20150219-WA0104.jpg)
10 years ago
CloudsFM02 Dec
PICHA ZAIDI :MASOUD KIPANYA NA FINA MANGO WAKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST WAKIZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Masoud Kipanya,Fina Mango wakiwa na Husna Abdul 'Dahuu'.
Waziri Njenje aka Babu Njenje naye alikuwepo mjengoni kwenye sherehe za miaka 15 ya Clouds fm.
10 years ago
CloudsFM22 Jan
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Kusaga: Clouds Media Group haijauzwa kwa Rostam
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga amesema kuwa Clouds Media Group haijauzwa kwa mfanyabiasha mkubwa hapa nchini,Rostam Aziz kama ambavyo taarifa hizo zilivyokuwa zimeenea kwenye mitandao ya kijamii.
Akizungumza kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM leo moja kwa moja kutoka nchini Dubai alisema kuwa taarifa hiyo ameisikia na kwamba amekuwa akipigiwa sana simu na wadau mbalimbali kuhusiana na habari hizo na kusema kuwa ni jinsi gani watanzania wamekuwa wakitumia...
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Kusaga: Habari za kuuzwa Clouds Media Group ni uzushi wa kupuuzwa
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga.
Na Mwandishi Wetu, Dar
TAHARUKI iliyosambaa jana kwenye mitandao kijamii juu ya kuuzwa kwa Clouds Media Group, inayomiliki Clouds FM, Clouds Tv na Choice FM, zimepata majibu baada ya Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo, Joseph Kusaga, kuibuka na kukataa habari hizo na kuziita ni uzushi wa kupuuzwa.
Habari za kuuzwa kwa kampuni hiyo dhidi ya mfanyabiashara maarufu na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rostam Aziz, zilishika...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-LdKMMlojVkM/VUD8UurMTDI/AAAAAAAHUHQ/R8yFGHMOszc/s1600/ZARI%26DIAMOND-Excl-Interview-FIN.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VBhfd_X1x4M/U-52-cSjrSI/AAAAAAAF_8M/_u8dwaDAU2E/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
sikiliza mapinduzi ya smartwatch (Saa za kidigitali) katika Power Breakfast on Saturday ndani ya Clouds fm leo asubuhi
![](http://3.bp.blogspot.com/-VBhfd_X1x4M/U-52-cSjrSI/AAAAAAAF_8M/_u8dwaDAU2E/s1600/unnamed%2B(29).jpg)