PICHA:MASOUD KIPANYA NA FINA MANGO WAKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST WAKIZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Watangazaji wa zamani wa Clouds FM,Masoud Kipanya na Fina Mango wakizungumzia miaka 15 ya redio ya watu kwenye kipindi cha Power Breakfast wakiwa na mtangazaji wa kipindi hicho,Gerald Hando....PICHA ZAIDI ZINAWAJIA SOON...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM02 Dec
PICHA ZAIDI :MASOUD KIPANYA NA FINA MANGO WAKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST WAKIZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Masoud Kipanya,Fina Mango wakiwa na Husna Abdul 'Dahuu'.Waziri Njenje aka Babu Njenje naye alikuwepo mjengoni kwenye sherehe za miaka 15 ya Clouds fm.
10 years ago
CloudsFM02 Dec
MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA,JOSEPH KUSAGA AKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST KUZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast leo na Gerald Hando,ambapo kauli mbiu ya sherehe ya mwaka huu ni #TunakufunguliaDunia #KuwaUnachotaka
10 years ago
CloudsFM03 Dec
10 years ago
CloudsFM22 Jan
10 years ago
CloudsFM12 Dec
10 years ago
GPL10 years ago
Michuzisikiliza mapinduzi ya smartwatch (Saa za kidigitali) katika Power Breakfast on Saturday ndani ya Clouds fm leo asubuhi
10 years ago
CloudsFM02 Dec
Wadau mbalimbali wakiwa Mjengoni wazungumzia miaka 15 ya Clouds FM
Malkia wa Mipasho Tanzania,Hadija Kopa akiwa kwenye kipindi cha Leo Tena naye akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM.Mama Siza wa Segere akiwa kwenye kipindi cha Leo Tena naye ni mmoja wa wasanii wa zamani waliotolewa na Clouds FM akizungumzia miaka 15 ya redio ya watu.Waanzilishi wa bendi ya Diamond Music,Alan Mulumba na King Dodoo wakiwa mjendoni clouds fm wakizungumzia sherehe za miaka 15 ya Clouds.
9 years ago
IPPmedia17 Dec
Acting president of Tanzania Tennis Association (TTA) Fina Mango
IPPmedia
Acting president of Tanzania Tennis Association (TTA) Fina Mango
IPPmedia
Acting president of Tanzania Tennis Association (TTA) Fina Mango has resigned from her post citing being busy with other engagements as the main reason. Mango was elected vice president of TTA but was acting president after Methusela Mbajo resigned ...