Wadau mbalimbali wakiwa Mjengoni wazungumzia miaka 15 ya Clouds FM
Malkia wa Mipasho Tanzania,Hadija Kopa akiwa kwenye kipindi cha Leo Tena naye akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM.
Mama Siza wa Segere akiwa kwenye kipindi cha Leo Tena naye ni mmoja wa wasanii wa zamani waliotolewa na Clouds FM akizungumzia miaka 15 ya redio ya watu.
Waanzilishi wa bendi ya Diamond Music,Alan Mulumba na King Dodoo wakiwa mjendoni clouds fm wakizungumzia sherehe za miaka 15 ya Clouds.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM02 Dec
10 years ago
CloudsFM02 Dec
PICHA:MASOUD KIPANYA NA FINA MANGO WAKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST WAKIZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Watangazaji wa zamani wa Clouds FM,Masoud Kipanya na Fina Mango wakizungumzia miaka 15 ya redio ya watu kwenye kipindi cha Power Breakfast wakiwa na mtangazaji wa kipindi hicho,Gerald Hando....PICHA ZAIDI ZINAWAJIA SOON...
10 years ago
CloudsFM02 Dec
PICHA ZAIDI :MASOUD KIPANYA NA FINA MANGO WAKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST WAKIZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Masoud Kipanya,Fina Mango wakiwa na Husna Abdul 'Dahuu'.
Waziri Njenje aka Babu Njenje naye alikuwepo mjengoni kwenye sherehe za miaka 15 ya Clouds fm.
10 years ago
Bongo506 Nov
Clouds Media waja na ‘Mjengoni Newsletter’
10 years ago
Bongo530 Aug
Mapacha wazungumzia maisha baada ya kupatana na Clouds FM
10 years ago
CloudsFM02 Dec
MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA,JOSEPH KUSAGA AKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST KUZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast leo na Gerald Hando,ambapo kauli mbiu ya sherehe ya mwaka huu ni #TunakufunguliaDunia #KuwaUnachotaka
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z26jJteDEPA/U9tOGpyjiAI/AAAAAAAF8Kk/CX3weyazB0A/s72-c/unnamed+(11).jpg)
CHUO CHA CBE CHAZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 JIJINI DAR, WADAU MBALIMBALI WAPONGEZA UBORA WA ELIMU INAYOTOLEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z26jJteDEPA/U9tOGpyjiAI/AAAAAAAF8Kk/CX3weyazB0A/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fdEqG4j-i0o/U9tOIEupGGI/AAAAAAAF8Ks/3FLdwSay8hk/s1600/unnamed+(12).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5G-a*oRq3Ty5JO1gmmsHjE7krMIIOM00jG47uR3-5I*1iDSfv55tY1-FoGuddNbYtLWwyHIFMdBxJjJKSSHpJk/Pichana1.jpg?width=650)
CHUO CHA CBE CHAZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 JIJINI DAR, WADAU MBALIMBALI WAPONGEZA UBORA WA ELIMU INAYOTOLEWA.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-B_J0Qtghb7k/VbYxzilXFfI/AAAAAAAHsAY/pYLiXISRcLA/s72-c/IMG_0910.jpeg)
WADAU WA UTAMADUNI WAZUNGUMZIA JINSI UNAVYOCHANGIA UCHUMI HAPA NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-B_J0Qtghb7k/VbYxzilXFfI/AAAAAAAHsAY/pYLiXISRcLA/s640/IMG_0910.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iASRjvSKLDo/VbYxxkwmk7I/AAAAAAAHr_4/ebSYLvu6GVU/s640/IMG_0863.jpeg)