WADAU WA UTAMADUNI WAZUNGUMZIA JINSI UNAVYOCHANGIA UCHUMI HAPA NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-B_J0Qtghb7k/VbYxzilXFfI/AAAAAAAHsAY/pYLiXISRcLA/s72-c/IMG_0910.jpeg)
Mgeni rasmi Dk. Salim Ahamed Salim akizungumza katika ufunguzi wa Semina iliyoandaliwa na chuo cha Waislam Morogoro kuhusiana Utamaduni na Mirathi ya utamaduni iliyopo hapa nchini semina hiyo iliyohusisha viongozi mbalimbali na wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano katika hoteli ya lamada jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Taasisi ya utamaduni wa chuo cha kiislam Morogoro, Abdalla Bujra.
Dk. Salim Ahamed Salim...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuendelea kushirikiana na wadau katika kuendeleza Utamaduni
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (kushoto) akifungua kituo cha utamaduni wa China nchini Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko.
Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina katika kituo cha Utamaduni wa China nchini Tanzania wakiimba nyimbo kwa lugha ya...
10 years ago
CloudsFM02 Dec
Wadau mbalimbali wakiwa Mjengoni wazungumzia miaka 15 ya Clouds FM
Malkia wa Mipasho Tanzania,Hadija Kopa akiwa kwenye kipindi cha Leo Tena naye akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM.
Mama Siza wa Segere akiwa kwenye kipindi cha Leo Tena naye ni mmoja wa wasanii wa zamani waliotolewa na Clouds FM akizungumzia miaka 15 ya redio ya watu.
Waanzilishi wa bendi ya Diamond Music,Alan Mulumba na King Dodoo wakiwa mjendoni clouds fm wakizungumzia sherehe za miaka 15 ya Clouds.
10 years ago
Habarileo16 May
Waelezwa umuhimu mchango wa urithi wa utamaduni kuinua uchumi
URITHI wa utamaduni umeelezwa kuwa ni moja kati ya vitegauchumi muhimu ambapo kama utatumika vyema utaleta mchango mkubwa kwa wananchi na serikali kwa ujumla.
10 years ago
MichuziWajasiriamali, Wasanii na Wanahabari walioshiriki kwenye maonyesho ya Utamaduni nchini Oman,wajejea nchini
10 years ago
GPLWAJASIRIAMALI, WASANII NA WANAHABARI WALIOSHIRIKI KWENYE MAONYESHO YA UTAMADUNI NCHINI OMAN, WAJEJEA NCHINI
10 years ago
Michuzi22 Jan
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SVnhQRl7f_s/U8MpNw8KauI/AAAAAAAAHNA/yjxs_y3Uczw/s72-c/Kenya+mambo+Poa.jpg)
Mahojiano na washiriki wa maonyesho ya Utamaduni wa Kenya hapa Washington DC
![](http://4.bp.blogspot.com/-SVnhQRl7f_s/U8MpNw8KauI/AAAAAAAAHNA/yjxs_y3Uczw/s1600/Kenya+mambo+Poa.jpg)
Zaidi ya washiriki 100 kutoka nchini Kenya...
10 years ago
Habarileo18 Nov
Serikali, wadau wajadili uchumi
TAASISI ya African Community of Practice (AfCoP), imekutanisha viongozi wa Serikali, wadau wa maendeleo na asasi za kijamii katika semina ya siku nne kwa ajili ya kujadili ripoti ya Tanzania ya tathmani ya kiuchumi na namna ya kufanikisha uchumi kupanda na kuwafikia wananchi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VRcURCduR-c/VUm73Jj9UCI/AAAAAAAHVrU/Ym6-Uos1GOQ/s72-c/DSCF9983.jpg)