Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WADAU WA UTAMADUNI WAZUNGUMZIA JINSI UNAVYOCHANGIA UCHUMI HAPA NCHINI

Mgeni rasmi Dk. Salim Ahamed Salim akizungumza katika ufunguzi wa Semina iliyoandaliwa na chuo cha Waislam Morogoro kuhusiana Utamaduni na Mirathi ya utamaduni iliyopo hapa nchini semina hiyo iliyohusisha viongozi mbalimbali na wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano katika hoteli ya lamada jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Taasisi ya utamaduni wa chuo cha kiislam Morogoro, Abdalla Bujra. Dk. Salim Ahamed Salim...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuendelea kushirikiana na wadau katika kuendeleza Utamaduni

pinda

Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (kushoto) akifungua kituo cha utamaduni wa China nchini Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko.

pinda 2

Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina katika kituo cha Utamaduni wa China nchini Tanzania wakiimba nyimbo kwa lugha ya...

 

10 years ago

CloudsFM

Wadau mbalimbali wakiwa Mjengoni wazungumzia miaka 15 ya Clouds FM

Malkia wa Mipasho Tanzania,Hadija Kopa akiwa kwenye kipindi cha Leo Tena naye akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM.Mama Siza wa Segere akiwa kwenye kipindi cha Leo Tena naye ni mmoja wa wasanii wa zamani waliotolewa na Clouds FM akizungumzia miaka 15 ya redio ya watu.Waanzilishi wa bendi ya Diamond Music,Alan Mulumba na King Dodoo wakiwa mjendoni clouds fm wakizungumzia sherehe za miaka 15 ya Clouds.

 

10 years ago

Habarileo

Waelezwa umuhimu mchango wa urithi wa utamaduni kuinua uchumi

URITHI wa utamaduni umeelezwa kuwa ni moja kati ya vitegauchumi muhimu ambapo kama utatumika vyema utaleta mchango mkubwa kwa wananchi na serikali kwa ujumla.

 

10 years ago

Michuzi

Wajasiriamali, Wasanii na Wanahabari walioshiriki kwenye maonyesho ya Utamaduni nchini Oman,wajejea nchini

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar,Bi. Hindi Hamadi Khamis (katikati) akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Zanzibar wa Abeid Karume akisubiri kuwasili kwa Wajasiriamali, Wasanii na Waandishi wa Habari waliokuwa nchini Oman kwa ajili ya maonyesho ya Tamasha la Utamaduni yaliyofanyika nchini humo. Wajasiriamali, Wasanii na Waandishi wa Habari waliopata nafasi yakwenda Oman kwa ajili ya kuutangaza Utamaduni wao wakipokelewa na Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na...

 

10 years ago

GPL

WAJASIRIAMALI, WASANII NA WANAHABARI WALIOSHIRIKI KWENYE MAONYESHO YA UTAMADUNI NCHINI OMAN, WAJEJEA NCHINI

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar,Bi. Hindi Hamadi Khamis (katikati) akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Zanzibar wa Abeid Karume akisubiri kuwasili kwa Wajasiriamali, Wasanii na Waandishi wa Habari waliokuwa nchini Oman kwa ajili ya maonyesho ya Tamasha la Utamaduni yaliyofanyika nchini humo. Wajasiriamali, Wasanii na Waandishi wa Habari… ...

 

11 years ago

Michuzi

Mahojiano na washiriki wa maonyesho ya Utamaduni wa Kenya hapa Washington DC

Kati ya Juni 25 na Julai 6, jiji la Washington DC lilikuwa mwenyeji wa maonyesho ya kila mwaka ya yanayohusu maisha a watu na jamii mbalimbali.Mwaka huu, nchi ya Kenya ilishirikishwa, wakionyesha utamaduni wao na changamoto za kuzidumisha katika zama hizi za sayansi na teknolojia.Kwanza Production ilipata fursa ya kutembelea maonyesho hayo na kuzungumza na baadhi ya washiriki wa maonyesho hayo ambapo walieleza mengi ya kufurahisha.KARIBU UUNGANE NASI
Zaidi ya washiriki 100 kutoka nchini Kenya...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali, wadau wajadili uchumi

TAASISI ya African Community of Practice (AfCoP), imekutanisha viongozi wa Serikali, wadau wa maendeleo na asasi za kijamii katika semina ya siku nne kwa ajili ya kujadili ripoti ya Tanzania ya tathmani ya kiuchumi na namna ya kufanikisha uchumi kupanda na kuwafikia wananchi.

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani